
WALIOPEWA NAFASI TAIFA STARS WAFANYE KWELI
MAZINGIRA ambayo yapo kwa sasa kwa wachezaji walioitwa kwenye timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni rafiki kwao kufanya kazi kwelikweli ili kuweza kupata ushindi. Hizi mechi ambazo zipo kwenye kalenda ya FIFA ni muhimu kwa wachezaji kuzipa uzito mkubwa na kufanya vizuri ili kupata matokeo. Ukiangalia namna ambavyo wachezaji wanapata nafasi kikosi cha…