
WALIOITWA STARS WAFANYE KWELI,TUNAWAAMINI
TUMEONA tayari orodha ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sasa imewekwa hadharani ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kimataifa zilizo kwenye Kalenda ya Fifa. Hili ni jambo kubwa kwa wachezaji kuweza kujiona wakiwa wametajwa kwenye orodha kwa ajili ya kuipeperusha bendera ya Tanzania. Ni fahari na inapendeza…