
M-BET MAMILIONI KWA WASHINDI, YUPO SHABIKI WA CHELSEA NA YANGA
KAMPUNI ya mchezo ya kubahatisha ya M-BET Tanzania imezidi kumwaga fedha baada ya kumzawadia shabiki wa timu ya Yanga na Chelsea Peter Nangi kitita cha Sh milioni 50. Nangi ambaye ni mkazi wa Geita, ameshinda kiasi hicho cha fedha baada ya kubashiri kwa usahihi jumla ya michezo 12 ya mchezo wa kubahatisha wa Perfect12 wa kampuni ya M-Bet Tanzania. Mkurugenzi Masoko…