
MAKAMBO KUFUNGA YANGA BADO SANA APITISHA MECHI HIZI BILA KUFUNGA
HERITIER Makambo ndani ya Yanga amecheza mechi 11 kwa msimu wa 2021/22 bila kufunga kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Yanga ni namba moja kwenye safu ya ushambuliaji yenye mabao mengi ikiwa imetupia mabao 25 na mtupiaji namba moja ni Fiston Mayele mwenye mabao 7 na pasi mbili za mabao. Kwa upande wa Makambo…