SIMBA:TUTARUDI NA MABEGI YA POINTI BONGO

MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa wanaamini kwamba watarudi na mabegi ya pointi mgongoni baada ya kukamilisha mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Simba ni vinara wa kundi D kwenye Kombe la Shirikisho wakiwa na pointi nne kibindoni wakiwa wamecheza mechi mbili, walishinda mbele ya ASEC Mimosas mabao…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KAGERA SUGAR

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unahitaji pointi tatu kwenye mchezo wa leo dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Hassan Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kwamba wanahitaji kupata pointi tatu mbele ya Kagera Sugar kwa kuwa mchezo ni mgumu na wanaamini watapata ushindi. “Mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar utakuwa…

Read More

KMC WALIPA KISASI MBELE YA POLISI TANZANIA

KMC leo imelipa kisasi mbele ya Polisi Tanzania kwa kuwatungua mabao 3-0 na kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Karatu, ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-0 KMC na kuwafanya waweze kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, ubao umesoma KMC 2-0…

Read More

MZUNGUKO WA PILI HUU HAPA MLANGONI MUHIMU KUJIPANGA

MZUNGUKO wa pili tayari upo mlangoni kwa timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara kuweza kujua nani atakuwa ni nani. Hesabu za mwisho hukamilishwa katika mzunguko wa pili hivyo jambo la msingi ni timu zote kuweza kujipanga na kupata ushindi kwenye mechi ambazo watacheza. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi…

Read More

SIMBA YATUMIA MBINU YA KIPEKEE KUIMALIZA RS BERKANE

KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili dhidi ya RS Berkane, uongozi wa Simba umeamua kutumia njia ya kipekee kupitia uhusiano wao na maofisa wa Raja Casablanca ya Morocco kuhakikisha wanapata mbinu za kuwamaliza Berkane. Simba inanufaika kutokana na kuwa na makubaliano ya ushirika na Klabu ya Raja Casablanca yaliyotokana na…

Read More

BAO LA MKONO LAMPONZA FEISAL,LIMEMKUTA HILI YANGA

FEISAL Salum, kiungo mwenye uwezo wa kutumia miguu yote miwili kufunga pamoja na mikono amekutana na jambo litakalomfanya kesho aukose mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar. Nyota huyo anakumbukwa kwamba alikuwa ni nyota wa kwanza ndani ya Yanga kwa msimu wa 2021/22 kufunga bao la mkono mbele ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu na…

Read More

HATARI YA MORRISON KIMATAIFA IPO HIVI

MTUKUTU Bernard Morrison mzee wa kuchetua kiungo mshambuliaji wa Simba ana wastani wa kuwa na hatari kila baada ya dakika 57 akiwa uwanjani kwenye mechi za kimataifa. Simba ikiwa imecheza mechi nneBM ametumia dakika 172 na ametupia mabao matatu katika mechi tatu ambazo amecheza. Alianza kuonyesha makeke mbele ya Red Arrows alitumia dakika 90 alitupia…

Read More

MAYELE AMKOSESHA RAHA BEKI LIGI KUU BARA

BEKI wa kati wa Simba anayekipiga kwa mkopo Mtibwa Sugar, Ibrahim Ame, amesema mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele ameshindikana huku akisisitiza amemkosesha usingizi. Kauli ya beki huyo imekuja baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kumalizika kwa Yanga kuwafunga Mtibwa mabao 2-0 juzi Jumatano kwenye Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Ame alisajiliwa na…

Read More

KMC YAZITAKA POINTI TATU ZA POLISI TANZANIA

AHMAD Ally, Kocha Msaidizi wa KMC amesema kuwa wanazitaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania. Ikiwa na pointi 19 baada ya kucheza mechi 15 ipo nafasi ya 8 leo inakutana na Polisi Tanzania, Uwanja wa Azam Complex. Akizungumza na Saleh Jembe, Ally amesema kuwa mbinu zote zitajulikana leo watakapokuwa uwanjani. “Hatuwezi kuweka wazi mbinu tutakazotumia…

Read More

POLISI TANZANIA KUKIWASHA LEO AZAM COMPLEX V KMC

MZUNGUKO  wa pili mdogomdogo kwa sasa unaanza leo Uwanja wa Azam Complex unatarajiwa kuchezwa mchezo kati ya KMC v Polisi Tanzania ambapo makocha wa timu zote mbili wameweka wazi kwamba wanahitaji pointi tatu. Polisi Tanzania wameweka wazi kwamba wapo tayari kwa mchezo wa leo na wanahitaji pointi tatu muhimu. George Mketo, Kocha Msaidizi wa Polisi…

Read More

SIMBA NDANI YA BERKANE

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco leo Februari 26 kimewasili salama mji wa Berkane. Safari ya kuibukia Berkane ilianza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mohammed V uliopo Casablanca. Simba ina kibarua cha kumenyana na Klabu ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi, kesho Februari 27….

Read More

SIMBA:TUTASHINDA MBELE YA RS BERKANE,WATANZANIA MTUOMBEE

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari wa ajili ya mchezo wao dhidi ya RS Berkane ya Morocco unaoatarajiwa kuchezwa Jumapili na wanaamini kwamba watashinda. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Februari 27 inakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa hatua ya makundi wakiwa katika kundi…

Read More