
HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA V SIMBA
DABI ya Kariakoo inasubiriwa kwa shauku kubwa ambapo kila timu inasaka pointi tatu muhimu. Huenda kikosi cha Yanga kikawa namna hii:- Diara Djigui Djuma Shaban Bakari Mwamnyeto Dickson Job Kibwana Shomari Yannick Bangala Farid Mussa Sure Boy Khalid Aucho Fiston Mayele Feisal Salum