Home Sports ALIYETAJWA KUTUA SIMBA SYLLA ASAJILIWA URENO

ALIYETAJWA KUTUA SIMBA SYLLA ASAJILIWA URENO

Baada ya kutajwa sana kutakiwa na kujiunga baadhi ya klabu za hapa nchini,kiungo Morlaye Sylla wa klabu ya Horoya amejiunga na klabu ya Arouca ya nchini Ureno.

 

Previous articleSIMBA YAMUACHIA STRAIKA WAO KUTUA SINGIDA
Next articleMGHANA HATARI KWA MABAO RASMI SIMBA,NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA