
PABLO MAMBO MAGUMU NDANI YA SIMBA
MAMBO magumu kwa Pablo Franco ndani ya kikosi cha Simba baada ya jana kulazimisha sare ya pili mfululizo kwenye ligi mbele ya Geita Gold baada ya mchezo uliopita kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mastaa wake wakiwa Uwanja wa CCM Kirumba walikubali sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi ambao ulikuwa wazi…