
KOCHA YANGA:MAYELE ATAFUNGA TU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mshambuliaji wake namba moja Fiston Mayele atafunga kwenye mechi zilizobaki kwa kuwa anapenda kufunga na uwezo anao. Mayele kwenye mechi nne mfululizo za ligi hajafunga akiwa ameachwa kwa bao moja na mtupiaji namba moja George Mpole wa Geita Gold mwenye mabao 13 na pasi tatu za mabao….