
SIMBA YAPINDUA MEZA MBELE YA KMC
KWENYE mchezo wa Ligi Kuu Bara leo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, kikosi cha Simba kimeweza kupindua meza mbele ya KMC. Pia mchezo wa leo ambao ni wa mzunguko wa pili umetumika kwa ajili ya kumuaga mchezaji wao Rally Bwalya ambaye amecheza mechi 19 na kutoa pasi tatu za mabao kuweza kuagwa kwa kuwa amepata timu…