TETESI ZA USAJILI ULAYA LEO JUMANNE, JUNI 21, 2022 …CHELSEA, ARSENAL, MAN UTD

Arsenal wanakaribia kumsajili mshambuliaji wa Brazil Raphinha kutoka Leeds United, huku nia ya Barcelona kumnunua mchezaji huyo wa miaka 25 ikiwa imepungua. (Goal – in Spanish) Chelsea wameungana na Tottenham kutaka kumsajili mshambuliaji wa Brazil Richarlison kutoka Everton, ambao wanataka zaidi ya £50m kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25. (Mail) Marina Granovskaia, ambaye…

Read More

KAMBOLE AOMBA JEZI NAMBA 7 YANGA

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Zambia ambaye ni ingizo jipya ndani ya Yanga, Lazarous Kambole, amesema kuwa angependa kutumia jezi namba 7 ndani ya Yanga huku akiweka wazi kuiomba jezi hiyo kwa matumizi ya msimu ujao akiamini kuwa ni namba ambayo anaipenda. Kwa upande wa Yanga, jezi namba 7 ilikuwa ikitumiwa na Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’, ambaye…

Read More

NYOTA MPYA YANGA AOMBA JEZI NAMBA 7

LAZAROUS Kambole mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga amesema kuwa anapenda kutumia jezi namba 7 kwa msimu mpya wa 2022/23. Raia huyo wa Zambia amesaini dili jipya ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Alitambulishwa ndani ya kikosi hicho Juni 16,2022 ikiwa ni siku moja baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa 28…

Read More

MAKOCHA HAWA WAINGIA RADA ZA SIMBA

TARIK Sektioui ambaye aliwahi kuifundisha RS Berkane ya Morocco ni raia pia wa Morocco anatajwa kuwa kwenye mazungumzo na Simba. Kocha huyu anatajwa kuwa miongoni mwa warithi wa Pablo Franco ambaye alifutwa kazi baada ya kupoteza mchezo wa Kombe la Shirikisho mbele ya Yanga. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu ambaye…

Read More

KAZI YA JOB MBELE YA COASTAL UNION ILIKUWA PEVU

DICKSON Job beki wa Yanga ni mtu wa kazi ambapo kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union wakati Yanga wakitangazwa kuwa mabingwa aliweza kuwa kwenye ubora. Jumla alipiga pasi 80 na katika pasi hizo alizotoa ni moja pekee iliweza kupotea kwa kutofika mahali ambapo alikuwa anahitaji ifike. Katika pasi hizo mguu ambao anapenda kuutumia…

Read More

KIKOMBE CHA UBINGWA KILIACHWA MAPEMA,MIPANGO MUHIMU

 LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa zimebaki mechi tatu kwa baadhi ya timu na nyingine zikiwa zimebakiwa na mechi mbili kukamilisha mzunguko wa pili. Inaonekana kwamba ilikuwa ligi ngumu na yenye ushindani mkubwa ambapo kila timu ilikuwa inapambana kufanya vizuri tangu mwanzo wa msimu. Hapa kuna picha nzuri ambayo imeweza kutengenezwa hasa kwenye upande wa…

Read More

PASI ZA BWALYA SIMBA KAMA DAKIKA ZAKE

RALLY Bwalya, mchezo wake wa kuagwa na mabosi zake Simba ilikuwa mbele ya KMC alitumia dk 88 na alipiga pasi 88 kati ya hizo mbili hazikuwafikia walengwa na muelekeo wake ulikuwa ni kwa Pape Sakho. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Mkapa, Juni 19 na Simba iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 ambapo watupiaji walikuwa…

Read More

DE JONG ATAJWA MANCHESTER UNITED

KOCHA mpya wa Manchester United, Erick ten Hag anatajwa kuwa kwenye hesabu za kumsajili Frenkie de Jong kwa ajili ya kuwa naye kwenye kikosi msimu ujao. Kocha huyo anamuamini kiungo huyo Mholanzi akiamini kwamba atakuwa bora kwenye mfumo wake akimpeleka pale Old Trafford. Ten Hag hataki klabu hiyo imwage fedha kwa wachezaji ambao hawapi kipaumbele…

Read More

AZIZ KI KUTAMBULISHWA YANGA

KAMA ulikuwa huamini, basi taarifa ikufikie kwamba, Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Stephane Aziz Ki na siku ya kutua nchini imetajwa. Ipo hivi, mchezaji huyo kwa taarifa za uhakika ambazo imezipata Spoti Xtra, ataingia nchini mapema ndani ya wiki ambayo inaanza kesho Jumatatu kwa ajili ya kumalizana kila…

Read More

KIPA WA ZAMANI AMUONDOA KAKOLANYA SIMBA

KOCHA wa Makipa na nyota wa zamani wa Sigara, Mtibwa Sugar na Yanga, Peter Manyika amewaangalia makipa wa sasa wa Simba, kisha kumchomoa Beno Kakolanya katika kikosi hicho, ili atafute maisha mengine kama anahitaji kulinda kiwango chake. Ubora wa Kakolanya ulionekana katika mchezo wa Simba dhidi ya Yanga akiwa katika lango la Wanajangani na aliweza…

Read More

KOCHA AFUNGUKIA KASI YA MPOLE

FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa bado anaamini kwamba mshambuliaji wake George Mpole ataendelea kutimiza majukumu yake ya kufunga pale anapopata nafasi. Mpole ni namba moja kwa utupiaji kwa wazawa akiwa na mabao 15 na pasi tatu za mabao ndani ya ligi huku Fiston Mayele wa Yanga akiwa ni kinara wa utupiaji…

Read More

NAMNA MAYELE ALIVYOIVUNJA REKODI YA BOCCO

FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga amevunja rekodi ya staa wa Simba, John Bocco kwenye suala la ufungaji na pasi za mabao. Bocco msimu wa 2020/21 aliweza kutupia mabao 16 na pasi mbili na aliweza kuibuka mfungaji bora ambaye anatetea kiatu chake hicho. Msimu huu Bocco kafunga mabao matatu na hajatoa…

Read More

MAMBO MAKUBWA MAWILI YA KUFANYA KWA SASA

MAMBO makubwa mawili kwa sasa yapo kwenye hesabu za kila mmoja,mwisho wa msimu pamoja na mwanzo wa msimu mpya. Haya lazima yaweze kuzunguka kwenye familia ya mpira hasa ukizingatia kwamba muhimu kila mmoja kufanya yale ambayo yanamuhusu kutimiza. Ukweli ni kwamba kila timu iwe ni ya ligi pamoja na zile ambazo zilikuwa kwenye Championship zina…

Read More

BWALYA AWEKA WAZI KWAMBA AMEJIFUNZA MENGI SIMBA

RALLY Bwalya kiungo wa Simba amesema kuwa miaka miwili aliyodumu hapo amejifunza mengi kwa kuwa amefanya kazi kwa ushirikiano mkubwa. Jana Bwalya alicheza mchezo maalumu wa ligi na kuagwa kwa heshima na wachezaji pamoja na mashabiki wa timu hiyo ambayo ipo chini ya Seleman Matola ambaye ni Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo. Kwenye mchezo…

Read More

VIDEO:FEI TOTO AMTAJA SAMATTA NA KIBA

KIUNGO wa Yanga,Feisal Salum ameweka wazi kuwa matamasha ya NIFUATE ni mazuri na amewaomba mashabiki waendelee kujitokeza kwa wingi ili kuweza kutoa msaada kwa wengine hiyo ilikuwa ni kwenye mchezo wa Team Kiba na Team Samatta ambapo yeye alikuwa ni kwa upande wa Team Kiba na amemtaja Kiba kuwa mmoja ya wachezaji ambao walifanya vizuri

Read More