SPORTPESA BET BONANZA TSH 15,888,000 KUTOKA
WASHINDI watatu Shaaban Mwita wa Mgusu (Geita), Abdalla Said Ali wa Tandahimba (Mtwara) na David Jonas wa Magu (Mwanza), leo asubuhi wameibuka washindi wa vitita vya shilingi milioni moja moja kila mmoja katika droo ya nne ya wiki ya Bet Bonanza ya SportPesa. Droo hii ni sehemu ya promosheni ya Bet Bonanza ya SportPesa, na…