
VIDEO:YANGA WANAISHI KISHUA,CHEKI KAMBI YAO
TAZAMA mwanzo mwisho namna Yanga wanavyoishi kishua
TAZAMA mwanzo mwisho namna Yanga wanavyoishi kishua
KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika,kati ya Yanga v Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa mastaa wa Yanga wanatarajiwa kuukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Djuma, Bernard Morrison na Lomalisa
HASSAN Nassoro kiungo wa Mbeya City ni miongoni mwa wazawa wenye uwezo wa kupiga mipira mirefu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo mwenye rasta kichwani ni ingizo jipya ndani ya Mbeya City akitokea kikosi cha Dodoma Jiji. Alikuwa miongoni mwa nyota walioshuhudia timu hiyo ikipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Singida Big…
DStv wanaenedelea kuwa mstari wa mbele kuwaletea wapenzi wa soka mechi hizi na tiketi yako ni dikoda tu! Kwa ofa yao kabambe ya TSH 69,000 tu unaweza kupata DStv dikoda yako safi, pamoja na kifurushi bure cha Shangwe! Baada ya kipindi cha maombolezo barani Uingereza, ligi kuu ya soka PREMIER LEAGUE inarudi wikiendi hii, na…
MOHAMED Hussein,nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa mashabiki wa timu hiyo wanapaswa kuendelea kuwa pamoja nao kwenye mechi zote wanazocheza ili kuwapa nguvu ya kupambana. Simba inapambana kusaka taji la ligi ambalo lipo mikononi mwa Yanga ililotwaa kwa msimu wa 2021/22 bila kupoteza kwenye mechi 30 na ilikusanya pointi 74. Imerejea Dar kutoka Mbeya ilipokuwa…
MZAWA Reliats Lusajo ni mtu wa kazikazi kwenye kikosi cha timu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Bara ujue umeona pointi kutokana na nyota yake kuwa kali kwenye miguu yake. Lusajo ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao manne ambayo amefunga kwenye mechi tatu mfululizo alizocheza ndani ya kikosi cha Namungo. Mchezo wa kwanza…
MSHAMBULIAJI wa Simba Moses Phiri amemtangazia vita mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele na wote kwenye ligi wametupia mabao matatumatatu
CLATOUS Chama, kiungo wa Simba pamoja na wachezaji wengine ikiwa ni nahodha John Bocco, Moses Phiri na Aishi Manula wamepewa angalizo kuelekea mchezo wao dhidi ya Nyasa Big Bullets wa marudio. Simba inatarajiwa kumenyana na Big Bullets Jumapili ikiwa inakumbuka imetoka kushinda mabao 2-0 ugenini na mabao yakifungwa na Phiri pamoja na Bocco. Meneja wa…
UWANJA wa Zimbru kwenye mchezo wa Europa kwa kundi E ni mabao mawili Sheriff walishuhudia yakizama nyavuni huku watupiaji wakiwa ni Jadon Sancho dakika ya 17 na Cristiano Ronaldo dakika ya 39. Mabao ya nyota hao yaliwapa furaha mashabiki wa Manchester United ambao walikuwa wakihitaji kuona timu inashinda. Bao la Ronaldo lilipachikwa kwa mkwaju wa…
MASTAA wa Simba tayari wamereja Dar wakitokea Mbeya walipokuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons na ulikuwa mchezo wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Juma Mgunda kukiongoza kikosi hicho kwenye mchezo wa ligi
NYOTA Tuisila Kisinda anarejea rasmi kuongeza kasi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, hivyo anatarajiwa kukiwasha ndani ya ligi na kimataifa. Usajili wakeakitokea RS Berkane ulileta mvutano mkubwa ila rasmi Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Mpira Tanzania, (TFF) imepitisha usajili wake. Usajili wa winga huyo…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba, amesema kuwa wanatambua mchezo wao ujao dhidi ya Big Bullets utakuwa mgumu hivyo wanajipanga kupata matokeo. Mgunda ana kibarua cha kuiongoza timu hiyo kwenye mchezo ujao wa kimataifa ambao ni wa awali baada ya ule wa kwanza kushinda. Mchezo huo dhidi ya Big Bullets unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa,…
MATHIAS Lule, Kocha Msaidizi wa Singida Big Stars amesema kuwa wachezaji wote ambao wapo ndani ya kikosi hicho watapata nafasi ya kucheza. Singida Big Stars kwa sasa inaendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Septemba 21. Miongoni mwa mastaa ambao wapo ndani ya…
YANGA sasa inauza ulaya, Marseille yatua kwa staa Yanga, Big Bullets wahofia muziki wa Simba Dar, ndani ya Championi Ijumaa
HAIKUWA bahati kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kupata ushindi kwenye mechi za kuwania kufuzu CHAN baada ya kupoteza kwenye mchezo dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa nyumbani na ugenini. Kwa sasa wachezaji 23 wameitwa kikosi cha timu ya Taifa kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Libya…
RAHEEM Sterling wa Chelsea alipachika bao la kuongoza dakika ya 48 likawekwa usawa na Noah Okafor dakika ya 75 kwenye mchezo wa UEFA Champions League. Ni mashuti 17 Chelsea walipiga Uwanja wa Stamford Bridge huku RB Salzburg wakipiga mashuti matatu na ni mashutu manne kwa Chelsea yalilenga lango na matatu yalilenga lango kwa RB Salzburg….
SABABU kubwa ya Aziz KI kumfuata Heritier Makambo baada ya kufunga bao mbele ya Mtibwa Sugar ni ahadi ambayo alipewa. Mtu wa karibu wa wachezaji hao amesema kuwa Makambo alimuamuambia Aziz KI kuwa atafanya jambo lolote kwenye mchezo huo kufunga ama kutoa pasi. “Makambo alipokuwa benchi alimuambia Aziz KI nenda uwanjani una bao lako hapo…