SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Wewe ni mmoja wa wanaotafuta nafasi ya kujishindia zawadi yenye thamani? Meridianbet imekuandalia promosheni kabambe ambapo unaweza kuibuka mshindi wa simu mpya aina ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Juni, washindi wawili watajinyakulia simu hizi kila Jumatatu kwa kushiriki tu kwenye mchezo huu wa kasino…

Read More

YANGA SC: MCHEZO WA DABI HAUTAKI MANENO

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba SC wanatambua ugumu wa mchezo huo ambao hauhitaji maneno zaidi ya utendaji kwa wachezaji kutafuta ushindi. Ni mchezo wa mzunguko wa pili msimu wa 2024/25. Katika ule mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Meridianbet inakuletea shindano la kuvutia ambapo unaweza kujishindia simu mpya ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 Juni hadi 30 Juni, washindi wawili kila Jumatatu watajinyakulia simu mpya kwa kushiriki kwenye huu mchezo wa kasino ya mtandaoni. Super Heli si tu burudani ya kipekee, bali pia ni njia…

Read More

TAARIFA ZA UJANJA UJANJA KUMONDOA RAIS WALLACE KARIA ZIACHWE

Tayari kuna taarifa kadhaa kutoka katika vyombo mbalimbali nje ya Tanzania kwamba kuna UJANJA unafanywa kwa ajili ya kumuondoa madarakani Wallace Karia. Inaelezwa eti Serikali ndio imeamua. Wajanja wanataka kutumia mwanya wa njia ya MKATO kuwaingiza wawatakao madarakani kwa faida ya mfanyabiashara MMOJA TU. Serikali haiwezi KUINGILIA MASUALA YA SOKA na hakuna kokote inaonyesha TFF…

Read More