
HAALAND ASEPA NA TUZO YA MCHEZAJI BORA
STAA wa Manchester City Erling Haaland ametajwa kuwa Mchezaji Bora Premier katika mwezi Agosti, (mwezi uliopita). Mshambuliaji huyo Mnorway ametwaa tuzo hiyo baada ya kuanza vyema maisha yake kwenye Premier, akitimiza majukumu yake kwa kuifanya City kutokufungwa hadi sasa katika ligi hiyo. Wampeta ushindi dhidi ya West Ham United, AFC Bournemouth, Crystal Palace, Nottingham Forest…