TANZIA:DAKTARI SIMBA ATANGULIA MBELE ZA HAKI

TAARIFA iliyotolewa leo Septemba 2,2022 na Klabu ya Simba ni kuhusu kutangulia mbele za haki kwa daktari wa timu hiyo. Taarifa hiyo imeeleza namna hii: “Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu yetu ya wanaume (Senior Team) ambaye kwa sasa alikuwa daktari wa timu ya vijana (Youth Team).  “Dkt. Yassin Gembe kifo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA BAADA YA KUONGEZWA KISINDA

KUKAMILISHA usajili wa nyota Tuisila Kisinda ambaye ni kiungo kunaongeza nguvu kwenye kikosi hicho kwenye mechi za ushindani.  Huenda Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi akaamua kuanza na nyota wake wapya amoja na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu uliopita wa 2022/23 kwenye mchezo wake mmoja wa ligi ama kitaifa.  Nyota hao 11…

Read More

MAN UNITED YASEPA NA USHINDI UGENINI

BAO la ushindi ambalo alifunga Jadon Sancho kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City wakiwa ugenini limemfanya achaguliwe kuwa mchezaji bora wa mchezo huo. Ilikuwa ni Uwanja wa King Power Manchester United walifanikiwa kukusanya pointi tatu wakiwa ugenini. Ushindi huo unaifanya timu hiyo kufikisha jumla ya pointi 9 ikiwa nafasi ya tano…

Read More

BENZEMA AMTAJA RONALDO

STAA wa Klabu ya Real Madrid, Karim Benzema amebainisha kuwa nyota Cristiano Ronaldo amefanya kazi kubwa kumsaidia yeye kuwa bora baada ya kuondoka hapo na kumuachia majukumu. Benzema na Ronaldo walicheza pamoja Real Madrid kuanzia 2009 mpaka 2018 kwa mafanikio makubwa ndani ya La Liga. Mpaka Ronaldo anaondoka Madrid alikuwa ametupia mabao zaidi ya 420…

Read More

SIMBA KUCHEZA MWINGINE WA KIMATAIFA

BAADA ya kurejea kutoka nchini Sudan kikosi cha Simba kesho kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar, Uwanja wa Mkapa.   Simba ilialikwa kwenye michuano maalumu iliyoandaliwa na Al Hilal ambapo iliweza kucheza mechi mbili za kirafiki. Mchezo wa kwanza Kocha Mkuu wa Simba, Zoran Maki alishuhudia timu hiyo ikishinda mabao 4-2…

Read More

MAYELE BADO NI MWANANCHI,MADILI MENGINE YAMEKWAMA

MADILI yote ambayo yalikuwa yanatajwa juu yake mwisho yamezimwa na sasa ni rasmi mwaba Fiston Mayele bado yupo sana ndani ya Yanga.   Nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za timu kubwa Afrika ikiwa ni pamoja na Morocco, Afrika ya Kusini ambazo zilikuwa zinahitaji saini yake. Yanga wameamua kumpa dili lingine ambalo litamfanya adumu…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI AZAM FC

KIKOSI cha Yanga kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao wa ligi ujao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Septemba 6,2022 Uwanja wa Mkapa. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye ameongoza kwenye mechi mbili za ligi bila kuonja ladha ya kupoteza. Ilikuwa mchezo wake dhidi ya Polisi Tanzania iliposhinda mabao 2-1 na mchezo…

Read More

MSAFARA WA SIMBA KUREJEA DAR

BAADA ya kumaliza kazi kwenye mechi mbili za kirafiki ambazo walialikwa nchini Sudan na Klabu ya Al Hilal, kikosi cha Simba leo Septemba Mosi kinatarajiwa kurejea Dar. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki iliweza kupata matokeo kwenye mchezo mmoja chanya na mwingine waliweza kupata matokeo hasi.  Kwenye mchezo wa kwanza walipata ushindi wa…

Read More

KIUNGO WA YANGA AIBUKIA GEITA GOLD

 RASMI Geita Gold FC imemtambulisha nyota wao mpya Said Ntibanzokiza kuwa ni mali yao kwa msimu wa 2022/23. Anaibuka ndani ya Geita Gold akiwa ni mchezaji huru baada ya dili lake na Yanga kugota ukingoni mwishoni mwa msimu wa 2021/22.  Taarifa rasmi iliyotolewa na Geita Gold imeeleza kuwa ni dili la mwaka mmoja amesaini nyota…

Read More