Home Sports HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA BAADA YA KUONGEZWA KISINDA

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA BAADA YA KUONGEZWA KISINDA

KUKAMILISHA usajili wa nyota Tuisila Kisinda ambaye ni kiungo kunaongeza nguvu kwenye kikosi hicho kwenye mechi za ushindani.

 Huenda Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi akaamua kuanza na nyota wake wapya amoja na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu uliopita wa 2022/23 kwenye mchezo wake mmoja wa ligi ama kitaifa.

 Nyota hao 11 wanaweza kuwa namna hii:-

Diarra Djigui

 Djuma Shaban

 Dickson Job

 Yannick Bangala

 Joyce Lomalisa

 Feitoto

SureBoy

Tuisila Kisinda

 Aziz KI

Bernard Morisson

Fiston  Mayele

Previous articleMAN UNITED YASEPA NA USHINDI UGENINI
Next articleNEWCASTEL UNITED HAWAELEWI KUHUSU KUPOTEZA ANFIELD