ALIYEKUWA MTENDAJI MKUU WA SIMBA AFARIKI

Aliyekuwa Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Dkt. Anorld Kashembe amefariki Dunia leo Desemba 23, 2024 huku klabu hiyo ikielezea kusikitishwa kumpoteza CEO wao huyo wa zamani ambaye alikuwa na mchango mkubwa kwa klabu hiyo. “Uongozi wa klabu ya Simba umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya msiba uliotokea leo 23.12.2024 wa aliyekuwa Mtendaji wa klabu…

Read More

SIMBA USAJILI WAO TAMBO ZATAWALA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ameweka wazi kuwa usajili wao mpya wa Ellie Mpanzu umejibu kwa haraka licha ya kuwa na mchezo mmoja wa ushindani. Nyota huyo mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ambapo kwenye mchezo huo alikomba daika 57 alikuwa na uwezo wa kupiga mashuti ya mbali…

Read More

CARY PURRY SLOTI KUBWA YA USHINDI MKUBWA

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…

Read More

CAMARA NA MWENDELEZO WAKE KUFUNGWA BONGO

CAMARA Moussa ambaye ni jicho la timu amekuwa akifungwa mabao yanayotokana na kupunguza umakini hasa katika eneo lake. Ukitazama mabao yote matano aliyofungwa ndani ya Ligi Kuu Bara amehusika kwa uzembe asilimia kubwa,Desemba 21 alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 2-5 Simba. Mabao mawili dhidi ya Coastal Union, moja alifungwa akiwa…

Read More

SIKU YA KUONDOKA NA MKWANJA MREFU NI LEO

Jumapili ndio hii imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Mechi za ligi kuu ya Italia SERIE A leo hii zinaendelea ambapo Atalanta atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Empoli ambao wanashikilia nafasi…

Read More

ARSENAL YAMPIGA MTU MKONO LIGI KUU

Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…

Read More

BACELONA YAPIGIKA NYUMBANI LA LIGA

Bao la dakika za jioooni la Alexander Sorloth limeipatia Atletico Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Olímpic Lluís Companys na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga). Atletico Madrid imefikisha pointi 41 baada ya mechi 18 huku Barcelona ikiporomoka mpaka nafasi ya pili pointi 38 baada ya mechi 19….

Read More

Meridianbet Waja na Shindano la Expanse Tena

Najua unafikiria namna gani unaweza kupiga mkwanja mrefu na kuifanya sikukuu yako kua nzuri na ya kibabe, Sasa kupitia shindano la michezo ya Expanse kasino unaweza kushinda kitita cha kutosha. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la…

Read More

DUBE AMEWEKA REKODI HII BONGO

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Yanga Prince Dube aeweka rekodi yake ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga hat trick kwenye ligi akifungua akaunti yake ya mabao akiwa na uzi wa Yanga baada ya kusajiliwa na timu hiyo akitokea Azam FC. Ipo wazi kwamba Dube ni mchezaji wa kwanza msimu wa 2024/25 kufunga hat trick ndani ya…

Read More