ARNE SLOT NI TUNU NDANI YA LIVERPOOL

Je unajua kwasasa mashabiki wa Liverpool ndio mashabiki wenye furaha zaidi Ulimwenguni?. Kama hujui basi ni hivi kalbu hiyo ndio klabu pekee ambayo ipo kileleni kwenye ligi kuu ya Uingereza na kwenye UEFA. Mpaka sasa kufikia Desemba 24 klabu ya Liverpool FC imeendelea kufanya vizuri chini ya uongozi wa kocha mkuu mpya Arne Slot, ambaye…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU DODOMA JIJI

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo mazuri kwenye mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 za kazi. Mchezo uliopita Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tanzania Prisons mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex ambapo Prince…

Read More

SIMBA V JKT TANZANIA TAMBO ZATAWALA

BAADA ya kutoka kuvuna pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba Desemba 21 na ubao kusoma Kagera Sugar 2-5 Simba leo watakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania. Simba inakutana na JKT Tanzania ambayo mchezo wao uliopita ilikuwa ugenini dhidi ya Namungo, baada ya dakika 90…

Read More

AZAM FC KAZI IMEANZA HUKO

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili itafanya usajili wa maana kutokana na mahitaji ya benchi la ufundi hivyo mashabiki wawe na subira kila kitu kipo kwenye mpango. Azam FC kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 15 imekusanya pointi 33 ipo nafasi ya tatu vinara ni Simba wenye pointi 34…

Read More

HAJI MANARA ATIBUA, AONYWA NA JESHI LA MAGEREZA

JESHI la Magereza Tanzania limemuonya Mwanachama wa klabu ya Yanga Sc, Haji Sunday Manara kwa kauli isiyo ya kiungwana yenye viashiria vya kutweza utu na yenye mwelekeo wa kulifedhehesha Jeshi hilo aliyotoa baada ya mchezo kati ya Yanga Sc dhidi ya Wajelajela, Tanzania Prisons katika dimba la KMC Complex. Taarifa ya leo Desemba 23 iliyotolewa…

Read More

ALIYEKUWA MTENDAJI MKUU WA SIMBA AFARIKI

Aliyekuwa Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Dkt. Anorld Kashembe amefariki Dunia leo Desemba 23, 2024 huku klabu hiyo ikielezea kusikitishwa kumpoteza CEO wao huyo wa zamani ambaye alikuwa na mchango mkubwa kwa klabu hiyo. “Uongozi wa klabu ya Simba umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya msiba uliotokea leo 23.12.2024 wa aliyekuwa Mtendaji wa klabu…

Read More

SIMBA USAJILI WAO TAMBO ZATAWALA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ameweka wazi kuwa usajili wao mpya wa Ellie Mpanzu umejibu kwa haraka licha ya kuwa na mchezo mmoja wa ushindani. Nyota huyo mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ambapo kwenye mchezo huo alikomba daika 57 alikuwa na uwezo wa kupiga mashuti ya mbali…

Read More

CARY PURRY SLOTI KUBWA YA USHINDI MKUBWA

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…

Read More

CAMARA NA MWENDELEZO WAKE KUFUNGWA BONGO

CAMARA Moussa ambaye ni jicho la timu amekuwa akifungwa mabao yanayotokana na kupunguza umakini hasa katika eneo lake. Ukitazama mabao yote matano aliyofungwa ndani ya Ligi Kuu Bara amehusika kwa uzembe asilimia kubwa,Desemba 21 alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 2-5 Simba. Mabao mawili dhidi ya Coastal Union, moja alifungwa akiwa…

Read More

SIKU YA KUONDOKA NA MKWANJA MREFU NI LEO

Jumapili ndio hii imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Mechi za ligi kuu ya Italia SERIE A leo hii zinaendelea ambapo Atalanta atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Empoli ambao wanashikilia nafasi…

Read More

ARSENAL YAMPIGA MTU MKONO LIGI KUU

Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…

Read More