
VIDEO: JEMBE AMVAA MWAMUZI KAGERA SUGAR V SIMBA/JOB KUSAJILIWA MSIMBAZI
LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo, Saleh Jembe amemzungumzia mwamuzi wa mchezo wa Kagera Sugar 1-1 Simba, ishu ya Job kusajiliwa Simba
LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo, Saleh Jembe amemzungumzia mwamuzi wa mchezo wa Kagera Sugar 1-1 Simba, ishu ya Job kusajiliwa Simba
FIFA inachunguza jinsi mpishi maarufu Salt Bae na watu wengine kadhaa walipata “nafasi isiofaa” kufika uwanjani mwishoni mwa fainali ya Kombe la Dunia nchini Qatar. Salt Bae, mpishi wa Uturuki ambaye jina lake halisi ni Nusret Gokce, alionekana katika picha akiwa ameshika na kubusu kombe la Kombe la Dunia akisherehekea na wachezaji wa Argentina baada…
SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya…
MTAALAMU wa mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Geita Gold, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, amekubalika ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Juma Mgunda. Saido raia wa Burundi, amekuwa akitajwa kuwa kwenye hesabu za kutua Simba ambao wanahitaji huduma yake kwenye dirisha dogo la usajili lililofunguliwa Desemba 16, mwaka huu ili kuongeza nguvu kwenye eneo…
BEKI wa kati wa Manchester City, Nathan Ake alifunga bao la ushindi kwa kichwa wakati timu hiyo ikiwachapa mabingwa watetezi Liverpool 3-2 katika mchezo wa kusisimua wa Kombe la Carabao. Ushindi huo uliopatkana Uwanja wa Etihad unaipa nafasi City kuweza kutinga hatua ya robo fainali. Licha ya kutocheza kwa mechi za ushindani kwa mwezi mmoja…
Franis Kazadi aliyekuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo dili lake linatajwa kubuma katika mitaa hiyo. Nyota huyo raia wa DR Congo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia kati ya Simba na Yanga ambao walikuwa wanasaka saini yake. Ni Simba walikuwa wanapewa nafasi kubwa ya kupata saini ya mshambuliaji huyo ambaye aliwahi kukipiga ndani…
KWENYE orodha ya mastaa wanaotajwa kuwekwa kwenye hesabu za kuondolewa ndani ya Yanga ni pamoja na Gael Bigirimana, Heritier Makambo,Tuisila Kisinda. Ni majina mawili yataondolewa Yanga kwa wachezaji wa kigeni ili kupata wawili watakaoingia kwenye kikosi cha kwanza kwa sababu idadi ya nyota 12 inayohitajika imetimia. Ni nyota wawili ambao wanatarajiwa kurejea kikosi cha kwanza…
STARAIKA mpya aikamua Yanga 700 m, balaa, Manzoki aumia China ndani ya Championi Ijumaa.
Huhitaji kuwa ‘serious’ sana unapojivinjari viunga vya kasino bomba ya mtandaoni ya Meridianbet. Ushindi unaenda sambamba na burudani. Mchezo wa Aviator Summer Flight. Ni Promosheni kabambe kabisa msimu huu wa Sikukuu za Krismas na Mwaka mpya ambayo inaanza Disemba 23 mpaka Disemba 31, 2022. Huu ni mchezo rahisi unaokupa nafasi kubwa ya ushindi kwa kupaa…
NYOTA Vivian Corazone Aquino ambaye alianza kusugua benchi kwenye dabi ya Wanawake limetosha kuipa pointi moja Simba Queens ilikuwa dakika ya 59. Baada ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa leo Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba Queens 1-1 Yanga Princess. Vivian aliweka mzani sawa kipindi cha pili na kufuta bao matata…
JOB atoboa usajili wa wachezaji Yanga na wale watakaochwa kwenye dirisha dogo huku akibainisha kwamba hata Mayele anaweza kuondoka Yanga
Sloti ya Odd One Out Kama wewe ni shabiki wa sloti za kizamani ila zinazokupa ushindi murua basi, mchezo huu wa Odd One Out kutoka Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet utakuwa sahihi kabisa kwa ajili yako kwani ina muonekano wa kuvutia sana! Kupitia sloti hii, Meridianbet inakupa njia 243 za kutengeneza ushindi, ushindwa vipi kuwa…
VIDEO Simba sio shwari, mfumo wa Mgunda wachambuliwa
KWA kasi ya Yanga, Simba wajipange, ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa mzunguko wa pili utatoa dira ya wao kufanikisha malengo ya kutetea taji hilo. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora wa kupata matokeo licha ya kupoteza mchezo mmoja kati ya 17 ilipotunguliwa na Ihefu mabao 2-1. Kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo wao dhidi…
KLABU ya Manchester United imetinga robo fainali ya Kombe la Carabao kufuatia ushindi wa moja kwa moja wa mabao 2-0 dhidi ya Burnley Uwanja wa Old Trafford. Bao la Christian Eriksen la kipindi cha kwanza kwa shuti kali kufuatia kazi nzuri ya beki wa kulia Aaron Wan-Bissaka liliipa United uongozi ilikuwa dakika ya 27. Juhudi…
BAADA ya kucheza mechi 17, Geita Gold wanafikisha kibindoni jumla ya pointi 23 ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku Azam FC ikiwa nafasi ya tatu na kibindoni ina pointi 38 na zote zipo ndani ya 10 bora kweye ligi. Ndani ya daika 180 kwenye mechi mbili wakiwa nyumbani wamekwama…