
Siku ya Redio Duniani Meridianbet Yapiga Hodi ITV & Radio One
Tarehe 13 siku ya Redio duniani kampuni ya michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet imetoa vifaa vya kutendea kazi kwa kituo cha Habari cha Radio 1, Hii ni katika kuendeleza taratibu wa kurejesha kwa jamii ambapo ni utaratibu kampuni hiyo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. Katika zoezi hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Radio One na ITV,…