


KOCHA SIMBA AKILI NYINGI, MABOSI YANGA WASHTUKA
ROBERTINHO akili nyingi Simba,mabosi Yanga washtuka, waingia msituni ndani ya Championi Jumamosi

YANGA, WINGA BAMAKO MAMBO SAFI
KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye kikao cha siri. Jana baada ya mchezo huo, kigogo wa Yanga alimwambia mwandishi wa gazeti hili kuwa, Diakite ni mchezaji mzuri ambaye amekuwa akimfuatilia tangu zamani kwa lengo la kumsajili kikosini…

BEKI YANGA AITIKISA AFRIKA
BEKI Yanga aitikisa Afrika kwenye anga za kimataifa ambaye ni nahodha wa kikosi hicho akiwa kwenye mwendo wake

SIMBA YAIFUATA MTIBWA SUGAR
KIKOSI cha Simba leo Machi 9 2023 kimeibukia Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira mapema leo kilifanya mazoezi kabla ya kuanza msafara wa kuelekea Moro mji kasoro bahari. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao unatarajiwa kuchezwa Jumamosi saa 10:00 jioni…

UNAMBIWAJEE UNAPOCHEZA SLOTI YA AVIATOR-MERIDIANBET UNAPATA MIZUNGUKO 500 YA BURE KILA SIKU
Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa sloti hii inatoa hela balaa unaanzaje kuikosa hii. Kwa dau la kuanzia Tsh 200 unaweza kuizalisha na kuwa mamilioni ya hela kupitia mizunguko 500 ya bure inayotolewa kila siku baada ya…

WASHIKA BUNDUKI WATAMBA KUFANYA KWELI EMIRATES
BAADA ya sare ya kufungana mabao 2-2 katika mchezo wa Europa League raundi ya 16, Mikel Arteta amesema wapinzani wao watakwenda Emirates. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Jose Alvalade ubao ulisoma Sporting 2-2 Arsenal. Mabao ya Sporting yalifungwa na Goncalo Inacio dakika ya 34 na Paulinho dakika ya 55 Kwa Arsenal ni William Saliba…

NABI ACHARUKA YANGA, AMSHUKIA MAYELE
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa hakufurahishwa tabia ya ubinafsi iliyokuwa ikifanywa na mshambuliaji wa timu hiyo, Fiston Mayele licha ya kumuweka chini ya kumueleza juu ya jambo hilo. Nabi ametoa kauli hiyo kufuatia mshambuliaji huyo kulazimisha kufunga mwenyewe katika nafasi alizokuwa anapata licha ya kutokuwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga katika…

YANGA SC WINGA BAMAKO MAMBO SAFI, HOROYA MSIJISAHAU
YANGA SC Winga Bamako mambo safi,Simba:Horoya msijisahau, mna tiketi yetu CAF

KMC WAICHAPA KAGERA SUGAR
HATIMAYE leo Machi 9,2023 KMC imepata ushindi mbele ya Kagera Sugar na kusepa na pointi tatu mazima. KMC haikuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi zake za hivi karibuni ambapo ilipotoka kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Yanga ikapoteza pia mbele ya Azam FC kwenye mechi za ligi ilizocheza Dar. Ni mabao ya Daruesh Saliboko dakika ya…

YANGA WALIWAKIMBIZA REAL BAMAKO KWA MKAPA
UKIWEKA kando Yanga kusepa na pointi tatu mazima dhidi ya Real Bamako walitawala katika kila Idara huku wakicheza Kwa tahadhari licha ya kuwa wapo nyumbani. Mashuti waliyopiga ni 12 huku manne yakilenga lango na mawili yàkizama nyavuni watupiaji wakiwa ni Fiston Mayele dakika ya 8 na Jesus Moloko dakika ya 68. Bamako ni mashuti 11…

Unataka ODDS KUBWA? Njoo Mwananyamala Kuna Duka Jipya la Meridianbet Litakupa Ukitakacho
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walisema sana mwisho wa siku vita vimewashinda jemedari mwenyewe wakali wa hizi kazi Meridianbet, walifika Duka la ubashiri la Mwananyamala kufanya uzinduzi wa duka hilo kwa kutoa huduma bora za ubashiri, kubwa Zaidi Odds kubwa kila mechi, machaguo Zaidi ya 1,000. Huu ni muendelezo wa uzinduzi wa maduka ya ubashiri ya…

KAGERA SUGAR KWENYE KIBARUA UHURU
NI kocha bora wa Februari Mecky Maxime leo Machi 9,2023 ana kibarua cha kuongoza kikosi chake dhidi ya KMC. Kocha huyo ambaye anapenda kuona vijana wakicheza kwa kujiamini mchezo wake uliopita wa ligi alishuhudia ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 1-0 Namungo. Ilikuwa ni Februari 18 ambapo bao pekee la ushindi lilijazwa kimiani…

MMELIONA SHANGWE? BALEKE, PHIRI PASUA KICHWA SIMBA
MMELIONA shangwe? Baleke, Phiri wampasua kichwa Mbrazil Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi.

YANGA YAITUNGUA REAL BAMAKO KIMATAIFA
BAADA ya Fiston Mayele kupachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi msumari mwingine umejaa kimiani. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 2-0 Real Bamako ikiwa ni mchezo wa kimataifa. Mayele alianza kupachika bao dakika ya 8 akiwa ndani ya 18 lilidumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza….

KMC KAMILI KUIKABILI KAGERA SUGAR
UOGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Machi 9,2023 Uwanja wa Uhuru. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hao kumenyana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Rekodi mbaya kwa timu zote mbili zimetoka kufungashiwa virago kwenye Azam Sports…

YANGA 1-0 REAL BAMAKO
YANGA wametumia dakika 10 kuwanyanyua mashabiki wao ndani ya Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Ni hatua ya makundi ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 Real Bamako. Yuleyule Fiston Mayele dakika ya 8 kawatuliza Bamako kwa kufunga bao liliipa uongozi Yanga. Umakini mdogo kwa Mayele ndani ya dakika 45 za…