NGAO YA JAMII ANAPASUKA MTU LEO

LEO Jumapili kwenye Uwanja wa Wembley, Arsenal na Manchester City zinakutana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuashiria kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England. Huu ni mchezo wa 115 wa Ngao ya Jamii unacheza tangu michezo hii ilipoanza kuchezwa mwaka 1908. Mchezo wa Ngao ya Jamii huzikutanisha timu bingwa wa Kombe la FA…

Read More

UBABE UBABE TU MTWARA, KIDUKU, MANDONGA MTU KAZI KAZINI

MASAA machache yamesalia kutoka hivi sasa leo Jumamosi Septemba 24, 2022 mabondia Twaha Kiduku na Abdo Khaled raia wa Misri kupanda ulingoni kuwania mkanda wa UBO Intercontinental kutoka Mtwara Ubabe Ubabe linalotarajia kupigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda wa Sijaona mkoani Mtwara. Kiduku na Khaled wa wamepima uzito na tayari kwa pambano hilo la uzani wa…

Read More

MZEE WA MAKOROKOCHO AJIBU KUIBUKIA SINGIDA BIG STARS

MZEE wa makorokocho Ibrahi Ajibu anatajwa kumalizana na mabosi wa Singida United. Nyota huyo atajiunga na timu hiyo akitokea ndani ya Azam FC ambao walitoa shukrani kwake kwa huduma yake baada ya mkataba wake kugota ukingoni. Mkataba wa Ajibu aliosaini ndani ya Azam FC akitokea Simba ulikuwa na kipengele cha kuogeza mwaka mmoja ikiwa ataonyesha…

Read More

TATU BORA KIVUMBI, ZOTE ZASHINDA

LIGI Kuu Tanzania Bara ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila wakati huku tatu bora vita ikiwa ni kubwa Kwa kila timu. Azam FC walifunga Februari 16 ubao ulisoma Azam FC 2-1 Geita Gold mabao yalifungwa na Tariq Seif dakika ya 41, Gibril Sillah dakika ya 44 na makali ya Idd Suleiman Nado yalionekana dakika ya…

Read More

WAARABU WAMFUATA AZIZ KI YANGA SC

IMEFAHAMIKA kuwa matajiri wa Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco wamefunga safari na kuja nchini kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya kumpata kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mburkinabe, Stephane Aziz Ki. Hiyo ni mara ya pili kwa Berkane kumfuata kiungo huyo kwa ajili ya mazungumzo ya kuinasa saini yake tangu akiwa katika klabu yake ya…

Read More

Cheza na Ushinde Book of Egypt Kasino

Nchi ya Misri ni miongoni mwa mataifa yenye mchango mkubwa katika historia ya mambo ya kale, unapozungumzia historia ya Pyramids, Maandishi ya kale na historian a visa vya kidini. Kiufupi Misri imebeba utalii wa kidunia.   Kwa wapenzi wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, kuna mchezo bomba wa kasino unaitwa Book of Egypt unaelezea mambo…

Read More

HESABU ZA TANZANIA KUSHIRIKI KOMBE LA DUNIA HIZI HAPA

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mohamed Mchengerwa amesema Tanzania inatarajia kushiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kumalizika mashindano ya mwaka huu 2022 yatakayofanyika Qatar kutokana na mikakati kabambe ya maandalizi inayoendelea hivi sasa. Mchengerwa amesema hayo Februari 8, 2022 jijini Dar es Salaam kwenye halfa iliyoandaliwa na ubalozi wa Qatar, kuadhimisha siku…

Read More

MASHABIKI MNASTAHILI PONGEZI

MASHABIKI mnastahili pongezi kwa namna ambavyo mmekuwa bega kwa bega na wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa. Tunaona kwenye kila hatua mmekuwa pamoja na timu pale zinapofanya vizuri mnafurahi pamoja na pale zinaboporonga mnatoa ushauri kwa viongozi. Kuna mengi ya kujifunza kwa mechi za kimataifa ikiwa hata namna ya ushangiliaji pamoja na kutokata tamaa…

Read More

RAHEEM ATUPIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

RAHEEM Sterling wa Chelsea alipachika bao la kuongoza dakika ya 48 likawekwa usawa na Noah Okafor dakika ya 75 kwenye mchezo wa UEFA Champions League. Ni mashuti 17 Chelsea walipiga Uwanja wa Stamford Bridge huku RB Salzburg wakipiga mashuti matatu na ni mashutu manne kwa Chelsea yalilenga lango na matatu yalilenga lango kwa RB Salzburg….

Read More

BEKI MTIBWA SUGAR AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kuwaaga mabosi wake Mtibwa Sugar beki wa kazi Nickson Kibabage anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia ndani ya Singida Big Stars. Nyota huyo aliwaaga wachezaji na viongozi wake rasmi Desemba 13 kwa kueleza kuwa anashukuru kwa muda wote ambao alikuwa ndani ya timu hiyo. Pia alikuwa anavaa kitambaa cha unahodha jambo ambalo liliwafanya…

Read More