TAIF STARS YAFANYA KWELI UWANJA WA MKAPA

 TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Somalia ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu CHAN. Mabao ya Tanzania yamefungwa na Abdul Suleiman dk 33 na Dickson Job dk ya 67. Mchezo wa leo umechezwa Uwanja wa Mkapa ambapo Stars ilianza kufunga kipindi cha kwanza kupitia kwa Sopu…

Read More

SIMBA QUEENS KUSAKA UBINGWA KIMATAIFA LEO

SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…

Read More

KIUNGO HUYU MGUMU AIPASUA KICHWA SIMBA

BALAA zito kwenye benchi la ufundi la Simba wakitoka kuyeyusha pointi tatu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika watakosa huduma ya kiungo wao mgumu Sadio Kanoute. Kazi kubwa itakuwa kwa benchi la ufundi kupasua kichwa kuamua wataanza na yupi kati ya Ismail Sawadogo, Mzamiru Yassin ama Jonas Mkude ikiwa atakuwa fiti. Kanoute alionyeshwa kadi…

Read More

HOFU YATANDA SIMBA KISA MUZIKI WA YANGA

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema kuwa kikosi cha Yanga kwa sasa kipo vizuri katika michuano ya ligi kuu jambo ambalo ni hatari kuelekea katika mchezo wa dabi dhidi ya Simba. Yanga kwa sasa wanaongoza ligi kwa tofauti ya pointi 13 dhidi ya Simba wanaoshika nafasi ya pili lakini wakiwa mbele kwa…

Read More

Kuwa Milionea Leo Hii na Mechi Hizi za FA

Ikiwa leo hii ni JUmapili tulivu kabisa, mechi za kombe la FA Uingereza linataka kukupa pesa endapo utabshiri na meridianbet kwnai huku kuna machaguo mengi sana ambayo unaweza ukachagua na yakakupatia mkwanja mnono. Ushindwe wewe tuu kujibweda. Mechi kubwa leo hii ni ile inayowakutanisha kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool yani ni kivumbi na jasho….

Read More

BIASHARA UNITED YAPATA KOCHA MPYA

UONGOZI wa Biashara United umetangaza benchi jipya la ufundi kwa ajili ya kumaliza mechi nne za msimu 2021/22.  Ni Vivier Bahati ambaye alikuwa kocha mkuu, msaidizi wake Daddy Gilbert na meneja Frank Wabale hawa wote wamefutwa kazi. Kocha Mkuu ni Khalid Adam atakuwa kocha Mkuu wa Biashara United ambayo inapambana kushuka daraja kwa sasa. Kwa…

Read More

TAMBWE APEWA TUZO YA UFUNGAJI BORA

RAMADHAN Nswazurimo, Kocha Mkuu wa Klabu ya DTB inayoshiriki Championship ameweka wazi kuwa mshambuliaji wake Amisi Tambwe anaweza kutwaa tuzo ya ufungaji bora. Tambwe kwa sasa anakimbiza kwa kucheka na nyavu akiwa na mabao sita, aliweza kuzifunga African Lyon mabao manne,Green Warrior bao moja na bao lake la sita aliwatungua African Sports. Akizungumza na Saleh…

Read More

AZIZ KI MKALI WA MZIZIMA DABI

WAKATI wakitarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa pointi tatu muhimu mkali wa Mzizizma Dabi ni Aziz KI. Aziz KI kahusika kwenye mabao 19 kati ya 48 yaliyofungwa na Yanga akiwa kafunga 13 na kutengeneza pasi za mabao 6 msimu wa 2023/24 kwenye ligi. Ni yeye mzunguko wa kwanza dhidi ya Azam FC alifunga…

Read More

MZEE WA BOLI ITEMBEE NA DAKIKA 270 ZA MOTO

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba katika mechi tatu ambazo ni dakika 270 ameshuhudia timu hiyo ikiambulia sare moja, ikishinda mechi mbili. Ni dakika za moto uwanjani kutokana na wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa fiti ikiwa ni pamoja na Kibu Dennis aliyepata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Namungo, Henock Inonga ambaye ni beki alipata…

Read More

ANZA MWAKA KIBABE PATA MAOKOTO LEO NA MERIDIANBET

Kupitia michuano ya kombe la FA nchini Uingereza leo maokoto yatakua nje nje kwani itakwenda kupigwa michezo mbalimbali itakayopigwa katika viwanja tofauti tofauti ambayo itatoa fursa ya kuokota na Meridianbet. Michezo yote ambayo itakwenda kupigwa leo imepewa ODDS KUBWA na za kibabe ambapo ni fursa kwa mteja wa Meridianbet kuweza kudungua mwaka wake kibabe kabisa….

Read More

YANGA KUIKABILI BIASHARA UNITED KWA HESABU

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wataingia kwa tahadhari leo Uwanja wa CCM Kirumba kusaka ushindi mbele ya Biashara United. Mchezo wa leo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni ambapo timu zote zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Yanga kwenye msimamo inaongoza ligi ikiwa na pointi zake 63 baada ya kucheza mechi 25…

Read More

PESA ZINAMIMINIKA LEOUSIKU MECHI ZA UEFA, PIGA MKWANJA

Habari mteja wetu pendwa wa Meridianbet, kama kawaida leo hii usiku wa Ulaya unaendelea huku Meridianbet wakiwa tayari wamekuwekea mechi za kupiga mkwanja pamoja na ODDS za kibabe hapo. Unachotakiwa kufanya ni kuingia Meridianbet haraka na kuanza kubashiri. Kaatika dimba la San Siro ambapo AC Milan atakuwa mwenyeji wa PSG. Milan yupo nafasi ya mwisho…

Read More