MUSONDA AANZA MATIZI YANGA

JEMBE jipya la Yanga Kennedy Musonda limeanza matizi ndani ya kikosi kwa ajili ya maandalizi ya mechi za msimu wa 2022/23. Nyota huyo ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Ilikuwa ni Januari 13 nyota huyo ambaye ni mshambuliaji alitambulishwa na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said. Raia huyo wa…

Read More

ARSENAL HAWAZUILIKI

ARSENAL hii ya Mikel Arteta ukigoma kufungwa unajifu ga mwenyewe kisha wanakufunga. Imekuwa hivyo ugenini baada ya dakika 90 ubao umesoma Tottenham 0-2 Arsenal. Ni bao la Hugo LIoris dakika ya 14 alijifunga na Martin Odegaard dakika ya 36. Arsenal inafikisha pointi 47 ikiwa inaongoza ligi huku Tottenham ikiwa nafasi ya 5 na pointi 33.

Read More

MZEE WA KUWAJAZA APEWA MKONO WA ASANTE JANGWANI

HERITIER Makambo amepewa mkono wa asante ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Makambo alirejea ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kusepa kwenda kupata changamoto mpya na Agosti 13,2021 aliweka wazi kuwa ni furaha kwake kurejea ndani ya Yanga. Makambo amekwama kuwa kwenye ubora wake kutokana na kusumbuliwa na majeraha…

Read More

SIMBA YAAMBULIA SARE DUBAI

SIMBA imepata sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai kwenye mchezo wa kirafiki. Dakika 45 za mwanzo Simba ilikuwa imefungwa mabao hayo mawili. Kipindi cha pili walifanya kazi kubwa kusaka ushindi lakini wakagotea kwenye sare hiyo. Mabao yote ya Simba yamefungwa na mzawa Habib Kyombo.

Read More

WATATU KUIKOSA IHEFU KESHO

KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Ihefu mastaa watatu wanatarajiwa kuukosa mchezo huo. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi kesho Januari 16 ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Ihefu. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Highland State ulisoma Ihefu 2-1 Yanga….

Read More

SIMBA YAMTAMBULISHA MWAMBA HUYU

ISMAEL Sawadogo kiungo mkabaji raia wa Burkina Faso ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Simba. Ni raia wa Burkina Faso ameletwa duniani 1996 ana miaka 26. Alikuwa anakipiga Klabu ya Difaa Hassani El Jadid Anakuja kuchukua mikoba ya Victor Ackpan ambaye atatolewa kwa mikopo. Ackpan raia wa Nigeria amekwama kufiti kikosi cha kwanza cha Simba…

Read More

JISHINDIE MIHELA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…

Read More

LIVERPOOL YANYOOSHWA NA BRIGTON, TRENT HANA FURAHA

NGOMA imepigwa kinomanoma mpaka wenyewe wakaona isiwe tabu wakaacha pointi tatu mazima Uwanja wa Falmer. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu England uliowakutanisha miamba Brighton dhidi ya wababe Liverpool. Dakika 90 zimekamilika Brighton 3-0 Liverpool yenye Mohamed Salah akiwa ndani ya kikosi. No Solly Marchi alitupia kambani mbili dakika ya 46 na 53 na moja…

Read More

SIMBA, MAKUSU MAMBO SAFI

TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Simba ipo katika hatua nzuri za kukamilisha usajili wa mshambuliaji Jean Marc Makusu Mundele. Simba kwa sasa ipo nchini Dubai ambapo inaendelea na kambi yake kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili na mechi za kimataifa. Wakala wa mchezaji huyo, Faustino Mukandila ameweka wazi kuwa mchezaji…

Read More

YACOUBA NA YANGA, MAISHA LAZIMA YAENDELEE

ALIKUWA moja ya wachezaji tegemeo ndani ya kikosi cha Yanga kwenye eneo la ushambuliaji ambapo aliunda pacha nzuri na Deus Kaseke. Yacouba amewaaga mabosi wa timu hiyo na kuwashukuru kwa muda ambao alikuwa nao ndani ya kikosi hicho. Alikuwa nje kwa muda wa msimu mzima akipambania hali yake baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa…

Read More

AZAM FC WAELEKEZA NGUVU HUKU

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa sasa unawekeza nguvu zao zote kwenye Ligi Kuu Bara na Kombe la Azam Sports Federation ambalo wanashiriki. Timu hiyo ilienguliwa kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 kwa kugotea hatua ya nusu fainali baada ya ubao wa Uwanja wa Amaan kusoma Azam FC 1-4 Singida Big Stars, Januari 8….

Read More

NIDHAMU IWE NA MWENDELEZO KWENYE LIGI KUU BARA

MWENDELEZO wa ligi unatarajia kurejea kwa kasi kutokana na kila timu kuwa na shauku ya kupata pointi tatu muhimu. Huu ni mzunguko wa pili ambao hauna chaguo la nani atafungwa iwe nyumbani ama ugenini mambo yamebadilika sana siku hizi. Haya yote yanatokana na ushindani uliopo kwani hata zile ambazo zinajiita timu kongwe zimekuwa zikipata ugumu…

Read More