
MVUNJA PROTECTA BADO YUPO SANA AZAM
MWAMBA Daniel Amoah beki wakuaminika ndani ya kikosi cha Azam FC bado yupo ndani ya Azam FC baada ya kuongeza dili la mwaka mmoja. Nyota huyo anaingia kwenye orodha ya waliomtungua Djigui Diarra, ‘Screen Protecta’ kipa namba moja wa Yanga kwenye Mzizima Dabi, Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Azam FC 2-2 Yanga. Amoah ni mechi…