
HUYU HAPA KIPA MPYA SIMBA
RASMI Simba imemtangaza kipa mpya mwingine tena ambaye atakuwa askihirikiana na wale waliopo kwenye kazi ya ulinzi. Ni Ayoub Lakred Agosti 12 ametambulishwa rasmi huku taarifa zikieleza kuwa ni Agosti 11 dili lake lilikuwa tayari kwa mwamba huyo kuwa ndani ya Simba. Kipa huyo alikuwa anaitumikia Klabu ya AS Far ya Morocco hiyo msimu wa…