
LEAGUE ONE YAZIDI KUNOGA MITANDAO – MERIDIANBET WAWEKA ODDS KALI LEO
Meridianbet ambao ndio wakali wa ubashiri Tanzania tayari wamekuweka mechi za Uingereza ligi daraja la…
Meridianbet ambao ndio wakali wa ubashiri Tanzania tayari wamekuweka mechi za Uingereza ligi daraja la tatu League One ambazo zinaendelea. Tengeneza mkeka wako wa ushindi hapa leo na uondoka na pesa nyingi. Doncaster Rovers vs Bradford City FC ni mechi nyingine ya kuongeza kwenye mkeka wako wa leo. Mechi hii pale Meridianbet imepewa ODDS 2.33…
Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rose alishiriki picha za gari lililopata ajali huku akiandika ujumbe mfupi uliojaa shukrani: “Ahsante sana Mungu kwa kutuonekania siku zote 🙏🙏🙏.” Ujumbe huo uliwagusa mashabiki wengi ambao walimiminika kwenye ukurasa wake kumpongeza…
HEMED Suleiman, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ameweka wazi kuwa hawakucheza vizuri kama ambavyo walitarajia katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya timu ya taifa ya Congo Brazzaville . Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Alphonce Masamba Debat ulisoma Congo Brazzaville 1-1 Tanzania. Ni…
INATAJWA kuwa baada ya kipa namba mbili wa Simba SC kukutana na Than You Septemba 5 2025 kuna uwezekano akaibukia ndani ya Fountain Gate. Ni Ally Salim ambaye kwa msimu wa 2024/25 alikuwa chaguo la pili kikosi cha Simba SC na namba moja alikuwa ni Moussa Camara. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Salim alianza…
PAZIA la Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora linakaribia kufunguliwa ikiwa ni siku zinahesabiki kwa kuwa Septemba 17 kazi inatarajiwa kuanza. Leo kuna tamasha kubwa nyanda za juu Kusini, ambapo Mbeya City iliyorejea kwa mara nyingine ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika…
Kwenye suala zima la michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeleta mabadiliko makubwa kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa kisasa unaowapa wachezaji wake msisimko wa kipekee na nafasi halisi ya ushindi mkubwa. Kwa teknolojia ya hali ya juu na vipengele vilivyobuniwa kwa ustadi, Meridian Bonanza si tu burudani, bali ni jukwaa la ushindi kwa…
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa kwa sasa Yanga SC hakuna suala la kupeana matumaini bali ni mwendelezo wa dozi pale ambapo waliishia. Ipo wazi kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa wana jambo kubwa la Wiki ya Mwananchi ambalo…
Clatous Chama msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya uzi wa Singida Black Stars kwa changamoto mpya baada ya mkataba wake kuisha ndani ya Yanga SC. Tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake huku akiwa amekabidhiwa jezi namba 7 kwa ajili ya mazoezi ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya. Chama Septemba 4 2025 alianza kazi ndani ya…
The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amewaomba mashabiki wa Simba SC kufanya kila linalowezakena lakini wasikosekana Septemba 10 2025 Uwanja wa Mkapa kwenye tamasha la Simba Day. Katika tukio hilo kubwa msimu wa 17 wachezaji, benchi la ufundi watatambulishwa wakiwa kwenye jezi mpya za msimu wa 2025/26 na wanatarajia kucheza…
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 5 2025 kitakuwa kazini kwenye mchezo dhidi ya Congo Brazzaville ambao ni maalumu kwa ajili ya kufuzu kombe la Dunia 2026 utakaochezwa Uwanja wa Alphonce Masamba Debat. Septemba 4 2025 Stars ilifanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa ambao utatumika kwa mchezo wa leo…
MO Dewji amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba SC hivyo mipango yote itakuwa inaendelea chini ya safu mpya ya uongozi. Mo amebainisha kuwa ameamua kufanya hivyo kutokana na kuhudumu kwa muda mrefu na majukumu yake akiwa mbali ameone ni muhimu Klabu ya Simba SC ipate kiongozi wa bodi ambaye…
UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa upo tayari kwa msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba 17 2025. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 haukuwa imara kwa timu hiyo ambayo ilianza kwa kasi mzunguko wa kwanza na iliandika rekodi ya kuwa ndani ya tano bora kwa muda mrefu kisha ikaporomoka mpaka kuwa timu iliyocheza…
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz anatajwa kuwa na balaa zito kwenye uwanja wa mazoezi. Ni kiungo ambaye anatajwa kuwa mbeba mikoba ya nyota Aziz Ki ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC msimu wa 2025/26 baada ya kupata changamoto mpya. Anaitwa Mohammed Doumbia inaelezwa kuwa…
Kwenye mchezo wa kasino mtandaoni, ushindi haupo tu kwenye namba, uko kwenye uzoefu, msisimko, na zawadi halisi. Meridianbet imeleta mapinduzi mapya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa Super Heli, ambao sasa unakuja na ofa ya kuvutia ya kujishindia simu mpya ya Samsung Galaxy A25 kwa kucheza Super Heli. Super Heli si mchezo wa…
Klabu ya Simba SC imeendelea na harakati zake za kuimarisha kikosi kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC na michuano ya kimataifa kwa kuwatambulisha rasmi nyota wapya wawili kutoka klabu ya JKT Tanzania. Wachezaji hao ni Wilson Nangu, beki wa kati wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), pamoja na kipa ambaye ameonyesha…
Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet tunaanganzia timu ambazo zimefanya usajili wa pesa pale LALIGA, EPL, BUNDESLIGA, LIGUE 1 pamoja na SERIE A. Na je kwako unaona ni usajili upi utaenda kufanya vizuri kwenye dirisha hili la usajili la 2025/26? BUNDESLIGA kule Ujerumani wababe wa ligi hiyo Bayern Munich wao msimu huu baada ya…