
KAPOMBE AMWAGA WINO SIMBA, AJIPANGA KWA MSIMU MPYA
Shomari Kapombe anaripotiwa kuwa tayari amekubaliana na klabu ya Simba kuhusu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi, licha ya mkataba wake wa awali kumalizika rasmi Juni 30, 2025. Vyanzo vya kuaminika kutoka ndani ya klabu vinadai kuwa hakuna presha yoyote baina ya pande hizo mbili, na kwamba mkataba mpya upo tayari na…