MERIDIANBET YAZINDUA PROMOSHENI YA KIPEKEE – SHINDA SAMSUNG A25 KUPITIA AVIATOR

Katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri, ushindi hauishii tu kwenye pesa, sasa unakuja na zawadi za kifahari. Mabingwa wa ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wamezindua promosheni kabambe inayowapa wachezaji nafasi ya kujishindia simu mpya kabisa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Aviator si mchezo mpya kwao. Unahusisha…

Read More

HAWA HAPA TIMU ZINAZOTAJWA KUSHUKA DARAJA EPL 2025/26

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kupasua mshiko uutakao?. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa lakini pia mechi kibao zinapatikana hapa. Bashiri timu ambazo unaona msimu ujao zitashuka daraja na mabingwa wa ubashiri hapa. Leeds United ni moja ya timu ambazo nazo zipo kwenye nafasi kubwa ya kushuka daraja msimu ujao kwani…

Read More

HUU NDIO WAKATI WA KUSHINDA ZAIDI NA MERIDIAN BONANZA

Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Meridianbet imeleta kitu kipya na cha kusisimua, Meridian Bonanza. Huu ni mchezo wa kasino mtandaoni ulioundwa kwa teknolojia ya kisasa, ukiwa na vipengele vya kipekee vinavyokupeleka karibu na ushindi mkubwa kila unapofanya mzunguko mchezoni. Ni mchezo unaochanganya mbinu, bahati, na msisimko wa kweli. Kipengele cha Ante Bet kinakupa uhuru…

Read More

Times FM kutangaza mubashara Kagame Cup

Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo…

Read More

KIUNGO WA YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

NYOTA Clatous Chama inatajwa kuwa amemalizana na Singida Black Stars kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuwa hapo msimu wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Chama alikuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC ambapo hapo mkataba wake umegota mwisho kwa kuwa alisaini mwaka mmoja. Alikuwa ni mchezaji wa kwanza kutangazwa kuwa Yaga SC akitokea…

Read More

MZUNGUKO MMOJA, BONASI KUBWA UKISHIRIKI ZOMBIE APOCALYPSE

Kwenye kasino mtandaoni, msisimko ni sehemu ya mchezo. Lakini Meridianbet imechukua msisimko huo hatua moja mbele na kuleta Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, tukio linalowashirikisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa michezo na ushindi wa bure. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wanahamasishwa kujiunga na Zombie Apocalypse, mchezo unaochanganya adrenalin na mikakati ya ushindi. Lakini hapa,…

Read More

KANUNI KWA TIMU AMBAYO HAITAFIKA UWANJANI 2025/26

WAKATI kivumbi cha Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC kikitarajiwa kuanza Septemba 17 2025, kuna maboresho ya kanuni kwa timu ambayo haitafika uwanjani bila sababu itakayokuwa inakubalika na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) Ni Kanuni ya 31, kutofika uwanjani inasema hivi:- Timu yoyote itakayokosa kufika uwanjani bila ya sababu za msingi zinazokubalika kwa TPLB…

Read More

YANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI

MASHINE za kazi kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/26 zimewasili ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz. Yanga SC ipo kambini Kigamboni kwa maandalizi ya msimu mpya ambapo mchezo wa ufunguzi ni Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba SC, Septemba 16 2025. Ni wachezaji…

Read More

FENERBAHÇE YAACHANA NA JOSE MOURINHO BAADA YA MWAKA MMOJA

Klabu ya Fenerbahçe ya Uturuki imetangaza kuachana na kocha wake, Jose Mourinho, ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu kujiunga na timu hiyo. Hatua hiyo inakuja siku mbili baada ya Fenerbahçe kutolewa kwenye hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Ulaya na klabu ya Ureno, Benfica. Kupitia taarifa rasmi, Fenerbahçe ilisema Mourinho na klabu wameafikiana kuvunja…

Read More