
BOSI SIMBA AVUJISHA USAJILI, NABI APANGUA KIKOSI
Bosi Simba avujisha usajili,Nabi apangua kikosi ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
Bosi Simba avujisha usajili,Nabi apangua kikosi ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Singida Big Stars unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Mei 4, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu ambazo Singida Big Stars nao wanazihitaji pointi hizo. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua uimara wa wapinzani wao…
MKIA wa pointi tatu kwa wababe Namungo na Simba umekuwa mkubwa kuliko na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Simba walianza kupachika bao dakika ya 27 kupitia kwa Jean Baleke liliwaongezea hasira Namungo kusaka bao la kuweka usawa. Ni Hassan Kabuda dakika ya 39 alimtungua Ally Salim akitumia makosa ya kipa huyo namba tatu kwenye kuokoa hatari….
CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Singida Big Stars lakini wapo tayari. Vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 26 kesho Mei 4 wanatarajiwa kumenyana na Singida Big Stars, Uwanja wa Liti. Kaze amesema:”Tunawaheshimu wapinzani wetu na tunatambua wapo imara hivyo tutaingia…
MAJIBU ya alichokuwa anafikiria kipa namba tatu wa Simba, Ally Salim anayo kwenye mikono yake. Ubao wa Uwanja wa Majaliwa unasoma Namungo 1-1 Simba ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Shuti la kwanza kwa Simba kulenga lango dakika ya 27 lilizama mazima nyavuni huku mtupiaji akiwa ni Jean Baleke. Bao la Namungo ni mali…
KIKOSI cha Simba kitakachoanza dhidi ya Namungo FC, Uwanja wa Majaliwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kipo namna hii:- Ally Salim Israel Mwenda Gadiel Michael Onyango Kennedy Juma Erasto Nyoni Pape Sakho Nassoro Kapama Jean Baleke Saido Ntibanzokiza
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni mchezo wao dhidi ya Namungo huku ule wa Azam FC ukiwekwa kiporo. Mei 3 Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo, Uwanja wa Majaliwa kwenye mchezo wa ligi na inakibarua cha kucheza na Azam FC,Mei 7 Uwanja wa Nangwanda, Sijaona. Meneja wa Idara ya Habari na…
MWENDELEZO mwingine wa ile burudani kwa kila timu kusaka pointi tatu baada ya safari kuwa ndefu kwenye mzunguko wa kwanza huku vinara wakiwa ni Yanga. Kwa sasa ngoma ipo mzunguko wa pili kila timu zikipambana kusaka ushindi uwanjani. Ni Mei yule Ng’ombe aliyekuwa anakatwa vipande vidogovidogo kama anakaribia kufikia kwenye mkia ila upepo unaweza kubadilika…
MENEJA wa Yanga, Walter Harrison ameweka wazi kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti, Mei 4,2023 ikiwa ni mzunguko wa pili. Katika mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 4-1 Singida Big Stars. Kikosi hicho chini ya…
JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema maandalizi yote kwa ajili ya mchezo mgumu dhidi ya Namungo yamekamilika. Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo kwenye mchezo wa mzunguko wa pili Uwanja wa Majaliwa saa 1:00 usiku. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Namungo walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City na kwa upande wa Simba…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amezungumzia kuhusu Simba kuondolewa katika Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali dhidi ya Wydad Casablanca na kuzungumzia ishu ya wapinzani wa Yanga kwenye hatua ya nusu fainali. Yanga imetinga hatua ya nusu fainali ikiwa na mastaa wake wapya kama…
KWENYE mechi za Kombe la Azam Sports Federation hatua ya nusu fainali ratiba zimezogezwa mbele kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF). Mchezo Kati ya Singida Big Stars dhidi ya Yanga ulitarajiwa kuchezwa Mei 7, Uwanja wa Liti utapangiwa tarehe nyingine. Taarifa imeeleza kuwa Yanga inayoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa…
KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Abdalah Mohamed,’Bares’ amesema kuwa watafanya kazi kubwa kuiboresha safu ya ushambuliaji ili kufunga mabao mengi zaidi. Prisons ipo nafasi ya 9 ina pointi 31 baada ya kucheza mechi 27 katika ligi msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba vinara wa ligi ni Yanga wakiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 26…
NI Youssouph Dabo ametambulishwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Azam FC msimu ujao, 2023/24. Dabo, raia wa Senegal, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwa ndani ya Azam FC. Kwa sasa timu hiyo ipo chini ya Kali Ongala ambaye ni Kaimu Kocha Mkuu. Kituo kinachofuata kwa Azam FC ni Jumamosi mchezo wa ASFC dhidi ya Simba,…
KIUNGO Rivers United akubali kutua Yanga, Simba wabadili gia ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa kazi kubwa ni kusaka ushindi katika mechi zao. Ni Fiston Mayele mwenye mabao 16 ndani ya ligi na mabao matano katika Kombe la Shirikisho Afrika ametupia mabao matano kuanzia hatua ya makundi mpaka robo fainali. Mei Mosi kikosi…