JE UNITED ANAWEZA KUSHINDA KWA MARA YA KWANZA LEO HII?

Mambo Vipi mteja wa Meridianbet? Leo ndio leo na michezo ya Ligi ya mabingwa itapigwa kwenye viwanja mbalimbali kuanzia kule Old Trafford na kwingine pia. Ingia www.merididnabet.co.tz uanze kusuka mkeka wako wa maana na wenye maokoto ya kutosha. Manchester United akiwa hajashinda mechi yoyote mpaka sasa atakuwa katika dimba la Old Trafford kumenyana dhidi ya…

Read More

AFL: AL AHLY 0-0 SIMBA

Kipindi cha pili ubao umesoma Al Ahly 1-1 Simba ambapo Simba walipachika bao kupitia kwa Sadio Kanoute dakika ya 67 likasawazishwa na Kahraba dakika ya 76. FT Al aHLY 1-1 Simba na wanaondolewa kwa kanuni kwa kuwa mchezo wa kwanza wakiwa nyumbani waliruhusu kufungwa mabao 2-2. Ni hatua ya robo fainali, African Football League nchini…

Read More

AL AHLY V SIMBA HAITAKUWA MECHI NYEPESI

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kufanyika Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kinachofuata kwa sasa ni mchezo wa marudiano ugenini. Ipo wazi kwamba Simba, iliandika rekodi ya kuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kucheza michuano mikubwa na mipya ya African Football League dhidi ya Al Ahly ya Misri. Haikuwa mechi nyepesi kutokana…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL AHLY

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira leo kina kazi ya kusaka ushindi mchezo wa robo fainali African Football League. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Henock Inonga Che Malone Sadio Kanoute Fabrince Ngoma Kibu Dennis John Bocco Saido Ntibanzokiza Clatous Chama

Read More

UNYAMA KUENDELEZWA KWA WAARABU, ITAFAHAMIKA

UNYAMA unatarajiwa kuendelezwa leo nchini Misri kwa mchezo wa hatua ya robo fainali ya pili ya African Football League kati ya Al Ahly dhidi ya Simba kutoka Tanzania. Benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira limebainisha kuwa lina imani ya kupata matokeo ugenini ili kutinga hatua ya nusu fainali.  Hapa tunakuletea hesabu namna…

Read More

MO AWEKA MEZANI ZAIDI YA 500M

Kuelekea mchezo huo, unaambiwa wachezaji wa Simba wamechachamaa wakiitaka shilingi milioni 500 walizoahidiwa na Rais wa Heshima wa Klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’ akiwataka kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Al Ahly ya Misri. Chanzo chetu kutoka Simba, kimeliambia Spoti Xtra kwamba, kabla ya Simba kuanza safari kuelekea Misri, Mo alikutana na wachezaji vyumbani kwenye Dimba…

Read More

AZAM FC MBELE YA YANGA HAWANA BAHATI KABISA

KATIKA mechi mbili za ushindani ndani ya dakika 180, matajiri wa Dar Azam FC hawana bahati kabisa mbele ya Yanga. Katika mchezo wa kwanza kumenyana ilikuwa Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 2-0 Azam FC. Ngoma ikawa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa dakika…

Read More

KAZI IPO KWA WACHEZAJI WA SIMBA KIMATAIFA

MAJIBU ya nani atakuwa mshindi atakayesonga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano mapya ya African Football League kati ya wawakilishi wa Tanzania, Simba dhidi ya Al Ahly ya Misri yanasubiriwa leo. Ukweli ni kwamba mchezo wa leo una maana kubwa kwa Simba kuandika rekodi mpya ambayo itabaki kwenye kumbukumbu za muda wote. Ni mchezo mgumu…

Read More

AZAM FC YAPOTEZA MZIZIMA DABI

MZIZIMA Dabi imezizima Uwanja wa Mkapa hukuAzam FC wakiwa mashuhuda wakiyeyusha pointi tatu mbele ya wapinzani wao Yanga. Unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC kupoteza kwa msimu wa 2023/24 kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Baada ya dakika 90 kumeguka ubao umesoma Yanga 3-2 Azam FC katika msako wa poiñti…

Read More

MZIZIMA DABI: YANGA 3-2 AZAMM FC

MZIZIMA Dabi inapigwa Oktoba 23,2023 Uwanja wa Mkapa kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu baada ya dakika 45. Dakika 45 za mwanzo timu zote zinakwenda  bao ulikuwa unasoma 1-1. Ni Aziz KI alianza kufunga kwa Yanga dakika ya 8 akimtungua Idrissu Abdulai na bao la usawa kwa Azam FC limefungwa na Gibrril Sillah dakika…

Read More

Utajiri Leo Hii Upo Meridianbet Bashiri Sasa

Leo hii ligi mbalimbali zinaendelea ambapo tayari Meridianbet wamekuhakikishia mkwanja wa maana endapo utabashiri mechi hizo kwa usahihi kwani hapa kuna kila ambacho wewe unakitaka. EPL kutimua vumbi majira ya saa 4:00 ambapo Fulham atakuwa ugenini dhidi ya Spurs ya Ange. Ikumbukwe kuwa vijana hao wa London hawajapoteza mechi yoyote hadi sasa. Mara ya mwisho kukutana…

Read More

FEI TOTO ANA BALAA HUYO

NYOTA Feisal Salum (Fei Toto) ana balaa huyo ndani ya uwanja kwa kuwa namba moja kwenye utupiaji wa mabao ndani ya Azam FC. Ndani ya Ligi Kuu Bara katupia mabao manne ambapo ni mchezaji wa kwanza kufunga hat trick ndani ya ligi alipofunga kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Azam Complex. Alianza kucheka na nyavu…

Read More