HIZI HAPA SILAHA ZA GAMONDI DHIDI YA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wachezaji wake wote wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya AzamFC. Leo ni Mzizima Dabi inatarajjiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 23 kwa wababe wawili kusaka pointi tatu. Miongoni mwa silaha ambazo zipo tayari kuikabili Azam FC ni Skudu Makudubela, Farid Mussa, Khalid Aucho, Jesus…

Read More

KAZE ABWAGA MANYANGA NDANI YA NAMUNGO

KUTOKANA na mwendo mgumu wa timu ya Namungo kupata matokeo kwenye mechi za ligi msim wa 2023/24 aliyekuwa kocha wa Namungo FC, Cedric Kaze ametangaza kung’atuka kwenye nafasi hiyo. Taarifa yake ya kubwaga manyanga ndani ya Namungo inayotumia Uwanja wa Majaliwa kwenye mechi za ushindani aliitoa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram….

Read More

MAPUNGUFU YA SIMBA AFL YAFANYIWE KAZI

UBORA wa kikosi cha Simba ambao unazungumzwa kwenye midomo na mashabiki pamoja na viongozi ni vitu viwili ambavyo vinafikirisha. Haina maana kwamba wachezaji wa Simba sio bora hapana, mwendo wa makosa kwenye mechi wanazocheza unakwenda kujirudia mara kwa mara. Tumeona namna ambavyo waliondolewa katia hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika na Wydad Casablanca…

Read More

KARIBU KWENYE FAMILIA YA KIBINGWA YA MERIDIANBET UFURAHIE SLOTI YA BURSTING HOT 5

Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi. Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet,…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA TABATA VISIWANI]

Wametembea sehemu nyingine wameenda sehemu tofauti tofauti lakini Meridianbet wakasema hapana awamu hii ni zamu ya Tabata Visiwani ambapo wamefika eneo hilo na kuweza kutoa msaada wa vifaa vya mazoezi kwa timu ya Jogging ya eneo hilo mapema leo. Huu umekua utaratibu wa mabingwa hao wa michezo ya kubashiri kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii ambacho wamekua…

Read More

GEITA GOLD WATOSHANA NGUVU NA DODOMA JIJI

GEITA Gold wamekubali kugawana pointi mojamoja na wapinzani wao Dodoma Jiji kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Nyankumbu baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Dodoma Jiji. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kuonyesha uwezo kusaka pointi tatu ndani ya dakika 90 za mchezo. Ni Geita Gold walianza kupata…

Read More

YANGA YATAJA UBORA WA WACHEZAJI WA AZAM FC

KUELEKEA Mzizima Dabi, Oktoba 23,2023 uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wanatambua utakuwa ni mchezo mgumu kutokana na aina ya wachezaji waliopo ndani ya kikosi cha Azam FC.Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Yanga amesema kuwa wanatambua aina ya wachezaji watakaokutana nao kwenye mchezo huo kuwa ni bora. “Wapinzani wetu Azam FC…

Read More

MRITHI WA MIKOBA YA MAYELE ANAPAMBANIA KOMBE HUKO

MRITHI wa mikoba ya Fiston Mayele ndani ya kikosi cha Yanga, Kennedy Musonda anapambania kombe kutokana na kuendelea kujitafuta kwenye kufunga ndani ya ligi. Ikumbukwe kwamba Mayele aliyesepa ndani ya kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 alikuwa ni namba moja kwa utupiaji alipotupia mabao 17 kibindoni na kutwaa tuzo ya ufungaji bora. Kwa sasa yupo…

Read More

LIGI ZIMERUDI, KAZIKAZI

Ligi zimerudi wewe tena na mechi kali za kupiga pesa. Ukiweka hata 2+ Kote hukosi hata Refund. Chamsingi ni itafute Milioni 250 bado ipo yakusubiri. Wafuate kwenye mitandao ya kijamii Galsportbettingtz upige hela Ratiba ya Ligi Kuu Bara Namungo v Singida Fountain Gate, Uwanja wa Majaliwa Geita Gold v Dodoma Jiji, Uwanja wa Nyankumbu Ihefu…

Read More

TIMUATIMUA MAKOCHA IZINGATIE NA MIKATABA

MAKOCHA wamekuwa wakipewa mzigo wa lawama pale timu ambapo inashindwa kufanya vizuri. Si vibaya kwa kuwa kila kocha anapewa malengo ya kufanya. Jambo la msingi kuzingatia kwenye suala la kuwapa mkono wa asante ni kuangalia nammna bora ya kukaa na benchi la ufundi kwa muda pamoja na malengo hayo yanavyoweza kufanikiwa. Kitu kikubwa ni kuangalia…

Read More

SIMBA YATOSHANA NGUVU NA AL AHLY

MCHEZO wa African Football League ambao ni wa ufunguzi Simba imetoshana nguvu na Al Ahly. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 2-2 Al Ahly. Mabao ya Simba yamefungwa na Kibu Dennis na Sadio Kanoute huku yale ya Al Ahly yakifungwa na Slim na Kahraba kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani…

Read More