MSHINDI WA SPORTPESA KUTOKA MOROGORO ASHINDA MKWANJA MREFU

MKAZI wa Morogoro amefanikiwa kuibuka mshindi wa mkwanja mrefu baada ya kufanikiwa kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kweye Jacpot ya wiki iliyopita, Mshindi wa SportPesa Jackpot bonus pichani ni Kassim Said Liuzilo mwenye miaka 52, ambaye ni kutoka Kilombero, Morogoro. Liuzilo ameshikilia mfano wa hundi ya shilingi 10,534,628 baada ya kubashiri kwa…

Read More

DTB YASEPA NA POINTI TATU MBELE YA KEN GOLD

RAMADHAN Nswazurimo, Kocha Mkuu wa Klabu ya DTB amesema kuwa wachezaji wake waliamini wameshinda kwenye mchezo wa leo dhidi ya Ken Gold jambo lililowafanya wapate tabu ndani ya dakika 90.   Mchezo wa leo wa Championship uliochezwa Uwanja wa Uhuru ulikuwa na ushindani mkubwa na timu zote zilikuwa zikishambuliana kwa zamu. Mwisho wa siku ushindi…

Read More

HATARI YA CHAMA IPO NAMNA HII

KINARA wa pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Clatous Chama ana hatari kila baada ya dakika 104 akiwa uwanjani. Ni mabao matatu katupia kibindoni akiwa ametoa jumla ya pasi 9 anafuatiwa na Ayoub Lyanga wa Azam FC ambaye ametoa pasi 7 na katupia bao moja. Simba ikiwa imetupia mabao 37 baada ya…

Read More

MERIDIANBET YAPANDA MITI MBEZI JUU

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa mazingira yanazidi kuwa bora zaidi, Meridianbet iliamua kurejesha kwa namna ya pekee ambapo safari hii wameamua kupanda miti Mbezi Juu. Meridianbet, kampuni inayoongoza katika sekta ya kubashiri na michezo, imeendelea kuonyesha uwajibikaji wake kwa jamii kwa kuanzisha na kuongoza zoezi la upandaji miti katika Kata ya Mbezi Juu, Dar es Salaam….

Read More

IHEFU WAKOMBA POINTI ZA TABORA UNITED

WAKIWA Uwanja wa Highland Estate Ihefu walikomba pointi zote tatu mazima kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Tabora United. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa mwamba Vedastus Mwihambi alipachika mabao yote kwa Ihefu ilikuwa dakika ya 40 na dakika ya 56. Kwenye mchezo huo uliochezwa Desemba 8 ni bao la Andy Bikoko lilikuwa…

Read More

MKIA UMALIZWE, WACHEZAJI WANALIA NA MENGI

MACHOZI ya wachezaji uwanjani yafutwe kwa vitendo na sio maneno yale ya kuwapa moyo kwamba haya yatapita. Kwenye mechi nyingi wanazocheza wapo wale wanaoumia kutokana na matokeo wengine hawajali. Ipo wazi kwamba katika dakika 90 za kutafuta matokeo yapo mengi ambayo yanatokea.Kikubwa ni viongozi kuangalia kipi kinachofanyika baada ya mchezo. Mashuhuda kwenye mchezo wa Kariakoo…

Read More

TFF YAUFUNGULIA UWANJA WA CCM KIRUMBA, MWANZA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Taarifa ya TFF ya leo Machi 20, 2025 imeeleza kuwa Uwanja huo uliofungiwa kutokana na miundombinu yake kutofaa kutumika kama ilivyoainishwa kwenye masharti…

Read More

BEKI WA KAZI KIMENYA KUIKOSA AZAM FC

TANZANIA Prisons ikiwa imecheza jumla ya mechi 12 ndani ya Ligi Kuu Bara na kukusanya pointi 11 leo ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC. Azam FC ipo nafasi ya 5 imecheza mechi 12 na kibindoni ina pointi 18. Beki wa kazi chafu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka, Salum Kimenya ataukosa…

Read More

DABI NDANI YA TANGA, MKWAKWANI, YANGA V SIMBA

NI Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inasubiriwa kwa shauku kutokana na kila mmoja kushinda kigingi cha kwanza cha nusu fainali. Katika nusu fainali ya pili dakika 90 zilikuwa ni ngumu kwa nyota wote katika kucheka na nyavu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Ubao umesoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate na kupeleka changamoto…

Read More

MADRID NA KISHINDO FAINALI KOMBE LA DUNIA

HALI ya hewa hapa ni baridi kali lakini haizuii joto la mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la Klabu kuwa juu. Licha ya kwamba hakuna timu ya Morocco baada ya Wydad ambao ni mabingwa wa Afrika kutolewa mapema, bado hamu kubwa ya mashabiki ni kuiona Real Madrid. Madrid watacheza fainali hiyo leo Jumamosi kwenye…

Read More

RATIB LIGI KUU BARA MEI 13 2025

MECHI za Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kuendelea ambapo ni mzunguko wa pili leo Mei 13 2025 kuna timu zitakuwa uwanjani katika msako wa pointi tatu muhimu. Wakati Mei 12 2025, ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 0-1 Mashujaa FC, Tanzania Prisons 2-1 Coastal Union, kuna mwendelezo mwingine itakuwa leo. Ratiba ipo namna…

Read More