
FULL MKOKO WA GAMONDI KUSAKA POINTI TATU ZA GEITA
MIGUE Gamondi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Geita Gold ameanzisha kikosi kazi kamili kusaka pointi tatu mbele ya Geita Gold. Kwenye mchezo wa nne, ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa Yanga kupoteza msimu wa 2023/24. Kulikuwa na mabadiliko kikosi cha kwanza ambapo wachezaji waliopewa…