PATA TSH 4,000,000/= KUTOKA KASINO YA MTANDAONI

Haiwezekani msimu huu wa Sikukuu Usiambulie chochote kutoka Meridianbet, ndugu jamaa na marafiki wafurahishe kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya Bragg na ushinde mgao wa Tsh 4,000,000/= Promosheni inafanyika kwa mfumo wa mashindano kwenye michezo iliyochaguliwa iliyoandaliwa na Bragg (Gamomat, Atomic Slot Lab, Blue beri): scss Sticky Diamonds (GAM) Fruit Mania (GAM) Aura…

Read More

NYOTA HAWA WANAACHWA YANGA NA SIMBA

USAJILI wa dirisha dogo unaendelea ambapo kuna wachezaji waliotambulishwa mitaa ya Kariakoo kwa Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wa kwanza kuanza utambulisho walipomtambulisha kiungo Shekhan Ibrahim kisha Simba walifuata kwa kumtangaza Saleh Karabaka. Kuna orodha ya wachezaji ambao wataachwa kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

Read More

UNAI ATAJWA NEWCASTLE UNITED

UNAI Emery, Kocha Mkuu wa Villarreal amewaambia mabosi wa timu hiyo kwamba Klabu ya Newcastle United inaonekana kumuhitaji licha ya kwamba hawajapeleka ofa kwa wakati huu.   Kocha huyo inaelezwa kuwa atachukua nafasi ya aliyekuwa kocha wa Newcastle United, Steve Bruce ambaye alifungashiwa virago kwenye timu hiyo baada ya timu hiyo kupata wawekezaji wapya mwezi…

Read More

WANAOKIMBIZA KWA PASI ZA MWISHO BONGO

KUNA rekodi zinaendelea kuandikwa ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni kwenye upande wa wakali wa kutupia mabao na wale wakali wa kutengeneza pasi za mabao. Hapa ni baadhi ya wakali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara huku wakali kutoka Yanga wao wote walipata nafasi ya kuwakimbiza watano wao wa jadi…

Read More

SIMBA AKILI KWA NAMUNGO,YAIWEKA KANDO AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni mchezo wao dhidi ya Namungo huku ule wa Azam FC ukiwekwa kiporo. Mei 3 Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo, Uwanja wa Majaliwa kwenye mchezo wa ligi na inakibarua cha kucheza na Azam FC,Mei 7 Uwanja wa Nangwanda, Sijaona.  Meneja wa Idara ya Habari na…

Read More

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unazihitaji pointi tatu za Geita Goled kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Ipo wazi kwamba na mabosi wa Geita Gold nao wanazihitaji poiti tatu hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita ikiwa nyumbani, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Simba 1-1 Azam FC huku wafungaji wakiwa…

Read More

BALAA LA FEI NI ZITO KINOMANOMA

BALAA la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ndani ya ligi namba nne kwa ubora ni nzito kinomanoma kutokana na mwendelezo wake kuwa imara katika upande wa pasi za mwisho msimu wa 2024/25. Timu hiyo kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 22 ikiwa imekusanya jumla ya pointi 45 na safu ya…

Read More

YANGA YAKOMBA POINTI ZOTE ZA KMC

HUKU kikosi cha Yanga kikiwa na nyota kadhaa ambao hawakuanza kikosi cha kwanza mchezo wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe wamesepa na pointi tatu zote za KMC. Kazi kubwa imemalizwa ndani ya dakika 40 za mwanzo ambapo bao lilipachikwa na Clement Mzize dakika ya 38 na kuipa pointi tatu Yanga. Uimara wa ukuta wa timu…

Read More

SHINDA MAMILIONI KWA KUCHEZA RICH PANDA

Mchezo wa kukupa mamilioni ni mmoja tu mjini Rich Panda ndio habari ya mjini unaweza kunyakua maokoto ya kutosha kupitia mchezo huu kabambe wa kasino ambao kwasasa unapendwa na kutoa washindi wapya kila siku. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu,…

Read More