KIUNGO TIMU YA TAIFA CHINI YA UANGALIZI MAALUMU

KIUNGO wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo chini ya uangalizi wa madaktari ili kuweza kurejea kwenye ubora wake. Kiungo huyo ni mali ya Azam FC alipata maumivu akiwa na timu yake ya Azam baada ya kurejea kutoka Misri walipokuwa wameweka kambi. Kiungo huyo ni miongoni mwa nyota walioitwa na…

Read More

GAMONDI NA MTEGO WAKE KWA MZIZIMA DABI

MIGUEL Gamondi alianza na kiungo Mudathir Yahya kwenye benchi wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Yanga 1-0 Geita Gold. Mchezo huo ulichezwa Uwanja Azam Complex kulikuwa na mabadiliko katika kikosi cha kwanza ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kuwapa muda wachezaji wengine ambao hawakupata nafasi kucheza mechi zilizopita. Mtego kwa Azam FC ambao…

Read More

AZAM FC YATAJA SABABU YA KUKWAMA KIMATAIFA

YUSUPHU Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa wamegotea nafasi ya awali katika Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na kushindwa kutumia nafasi. Azam FC imeyaaga mashindano hayo kwa jumla ya penalti 3-4 baada ya matokeo ya jumla kuwa 3-3. Mchezo wa kwanza ugenini ilishuhudia ubao ukisoma Bahir Dar 2-1 Azam FC katika mchezo…

Read More

MTIBWA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema wanahitaji kupata ushind kwenye mechi zote ambazo watacheza ikiwa ni pamoja na mchezo wao dhidi ya Yanga. Mtibwa Sugar imeanza msimu kwa mwendo wake ikiwa imecheza mechi tatu, ushindi ni kwenye mechi mbili ina sare moja pointi zake kibindoni ni 7. Kifaru amesema kuwa wanatambua wana kazi…

Read More

AZAM FC V YANGA VITA YA DAKIKA 90

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wamefanyia kazi makosa waliyofanya kwenye mzunguko wa kwanza hasa katika mipira ya adhabu. Dakika 90 zitatoa majibu kwenye mchezo wa leo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu hizo mbli. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa…

Read More

MUSONDA AWATIBULIA MASTAA YANGA

MFUMO wa 4-4-2 anaotumia Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kwa kuwachezesha washambuliaji wawili, huenda ukawavurugia viungo wa timu hiyo baadhi kujikuta wakisotea benchi katika michezo ijayo. Hiyo ni baada ya Yanga kufanikiwa kuipata saini ya mshambuliaji Mzambia, Kennedy Musonda katika usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15, mwaka huu. Nabi amelazimika kutumia mfumo wa…

Read More