Home Sports HIKI NDICHO WAMEFANYA MASTAA WA SIMBA DHIDI YA WAARABU

HIKI NDICHO WAMEFANYA MASTAA WA SIMBA DHIDI YA WAARABU

SIMBA imeondolewa hatua ya robo fainali kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukubali kufungwa bao 1-0 ugenini na kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1 kwa kuwa Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa.

Previous articleHAYA NJOONI MJIFUNZE KWETU, SIMBA WAACHA GUMZO MOROCCO
Next articleHAITAKUWA MWISHO MPAKA IGOTE MWISHO