Home Sports HIKI NDICHO WAMEFANYA MASTAA WA SIMBA DHIDI YA WAARABU Sports HIKI NDICHO WAMEFANYA MASTAA WA SIMBA DHIDI YA WAARABU April 29, 2023 FacebookTwitterPinterestWhatsApp SIMBA imeondolewa hatua ya robo fainali kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukubali kufungwa bao 1-0 ugenini na kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1 kwa kuwa Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa.