SIMBA:HAPA KAZI TU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba wao kipaumbele chao namba moja ni kazi tu uwanjani ili kupata matokeo chanya na hawana muda wa kushindana na wale wanaoongeaongea. Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu amesema kuwa wapo kwenye ligi kwa malengo makubwa ya kuweza kutetea ubingwa waliotwaa msimu uliopita na hilo linawezekana. “Sisi hapa kwetu ni kazi…

Read More

MASAA 48 YATENGWA NA KOCHA SIMBA KUSUKA KIKOSI

PABLO Franco Kocha Mkuu wa Simba ametenga siku mbili sawa na saa 48 za vijana wake kupata ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United ambao unatarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba Machi Mosi 2022 kikosi cha Simba kiliweza kurejea nchini baada ya kuwa Morocco kwenye mechi ya kimataifa na…

Read More

CHELSEA, LIVERPOOL, UNITED, REAL MADRID KUCHEZA LEO

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ligi pendwa Duniani EPL leo hii pia ipo kwaajli ya kukupatia mkwanja Chelsea atakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Ipswich Town ambao mechi ya kwanza…

Read More

MUGALU NA LWANGA WAONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA PABLO

RASMI Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amemuondoa mshambuliaji Chris Mugalu na kiungomkabaji, Taddeo Lwanga katika mfumo wake kuelekea Kariakoo Dabi itakayowakutanisha Simba dhidi Yangakesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Nyota hao wote wapo nje ya uwanja kwa muda mrefu wakiuguza majeraha ya goti wote wawili. Mmoja wa mabosi kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, ameliambia Championi Ijumaa kuwa wachezaji…

Read More

ARSENAL IPO KWENYE UBORA WAKE

ARSENAL inazidi kujiimarisha kwenye nafasi ya kwanza baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Liverpool na kuifanya kuwa kwenye ubora wake chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Uwanja wa Emirates mapema kabisa katika dakika ya kwanza Gabriel Martinelli kisha misumari miwili ilipachikwa na Bukayo Saka dakika ya 45 na dakika ya 76 kwa mkwaju…

Read More

CHEZA AVIATOR KWA WINGI UPATE BETI ZA BURE MWEZI HUU

Kama ilivyo kawaida, Meridianbet inaendelea kuwavutia wateja wao ambapo safari hii wamekuja na promosheni kabambe kutoka kwenye mchezo wao wa kasino maarufu kama Aviator ambao ulianza toka tarehe 12 na uanendelea hadi mwisho wa mwezi. Promosheni hiyo imekuja na kwa lengo la kutoa beti za bure kwa wale wateja wao ambao wanacheza mchezo huo wa…

Read More

MAPINDUZI CUP FAINALI LEO NI LEO

JANUARI 13 leo ni leo ambapo Michuano ya Mapinduzi Cup inafikia tamati kwa mechi ya fainali kupigwa Mabingwa watetezi ambao ni Mlandege kucheza na Simba SC ambao wametinga hatua ya fainali 2024. Ni bao la Fabrince Ngoma lilileta nongwa dakika za lala salama na kupelekea mikwaju ya penalti. Singida Fountain Gate 2-3 Simba kwenye penalti…

Read More

NYOTA KIBU AMKOSHA KOCHA MPYA SIMBA

ROBERT Oliviera Kocha Mkuu wa Simba amekoshwa na maufundi ya mshambuliaji wa timu hiyo Kibu Dennis. Katika mazoezi yaliyofanyika jana Januari 11, raia huyo wa Brazil alimchangua Kibu kuwa mchezaji bora wa siku hiyo na kumpa zawa. Kibu alikabidhiwa zawadi hiyo mbele ya wachezaji wa Simba wakiongozwa na nahodha John Bocco mwenye mabao 9 ndani…

Read More

AZAM FC YAICHAPA NAMUNGO 2-1,DUBE ATUPIA

AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo unemalizwa ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza baada ya mabao matatu kufungwa. Namungo FC walianza kutupia bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Mohamed Issa likasawazishwa na Prince Dube dk ya 22….

Read More

MSHINDI WA SPORTPESA KUTOKA MOROGORO ASHINDA MKWANJA MREFU

MKAZI wa Morogoro amefanikiwa kuibuka mshindi wa mkwanja mrefu baada ya kufanikiwa kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kweye Jacpot ya wiki iliyopita, Mshindi wa SportPesa Jackpot bonus pichani ni Kassim Said Liuzilo mwenye miaka 52, ambaye ni kutoka Kilombero, Morogoro. Liuzilo ameshikilia mfano wa hundi ya shilingi 10,534,628 baada ya kubashiri kwa…

Read More