
UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI, DESEMBA 30, 2023
Pata nakala yako kwa muuza magazeti aliyekaribu yako au kwenye #GlobalAPP
Pata nakala yako kwa muuza magazeti aliyekaribu yako au kwenye #GlobalAPP
IMEELEZWA kuwa Simba muda wowote watakamilisha usajili wa mshambuliaji wa Klabu ya Comerciantes FC, Mauricio Cortes raia wa Colombia. Simba imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi chao, kati ya hayo ni safu ya ushambuliaji ambayo Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha amependekeza usajili huo. Safu hiyo ya ushambuliaji hivi sasa inaongozwa na John Bocco, Jean…
MSHAMBULIAJI wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome Zouzoua na Kouassi Attohoula Yao ambao ni marafiki zake. Sankara amekuwa akihusishwa kwa muda sasa kutakiwa na Yanga huku msimu huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa amefanikiwa kufunga mabao 4…
Ligi daraja la pili nchini Uingereza maarufu kama Championship itaendelea ijumaa ya leo na michezo mbalimbali itakwenda kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, Huku mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kujipigia mkwanja wako wa kutosha. Kuhakikisha kua kipindi hichi cha sikukuu wateja wa Meridianbet hawakai kinyonge mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakimwaga Odds…
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kwenye mpango wa usajili utaongeza mkata umeme wa kazi mithili ya Fabrince Ngoma ili kuongeza uimara kwenye timu hiyo. Ipo wazi kwamba Simba kwa msimu wa 2023/24 haijawa bora kwenye eneo la ulinzi na ushambuliaji huku eneo la ukabaji ikiwa na wachezaji wa kazi kama Fabrince Ngoma, Sadio Kanoute na…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa una kila sababu za kujivunia uwepo wa wachezaji wao wote wanaofanya kazi kwa ushirikiano ikiwa ni pamoja na kiungo Aziz KI. Ikumbukwe kwamba Aziz KI ni namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 10 kibindoni sawa na namba ya jezi yake pendwa mgongoni akiwa uwanjani kutimiza…
Mighty Empire Hold and Win ni sloti mtandaoni iliyoletwa na mtoa huduma iSoftBet. Mchezo huu una bonasi ambazo hutolewa kwa wachezaji wote wa kasino ya mtandaoni na Bonasi ya Hold and Win ambayo ni njia yako ya haraka kwenye ushindi mkubwa. Mighty Empire Hold and Win ni sloti ya kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano…
SHABIKI wa Klabu ya Simba na timu ya Manchester United ya England Seif Babu amefunga droo ya Perfect12 ya kampuni ya M-Bet kibabe baada ya kushinda Sh 173,056,020 kwa kubashiri matokeo ya mechi 12 za ligi mbalimbai duniani kiusahihi. Babu ambaye ni mkazi wa Iringa, alisema kuwa haikuwa kazi rahisi kubashiri matokeo hayo pamoja na…
MABEKI wa Simba chini ya kiongozi wao Henock Inonga, Che Malone , Kenedy Juma wameingia kwenye mtengo kwa kuambiwa kwamba wanapaswa kutimiza majukumu yao na kuzuia kufungwa mabao. Timu hiyo kwenye mchezo wa mwisho kwa 2023 dhidi ya KMC ilikwama kukomba pointi tatu na kugawana mojamoja dhidi ya KMC kutokana na kufungwa bao la jioni…
SANKARA apiga simu Yanga, Straika Mcolombia mlangoni Simba SC ndani ya Championi Ijumaa
NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna makocha ambao waliomba kuondoka kwenye timu zao kwa kuandika barua na wengine walikutana na Thank You kutokana na kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na timu ambazo walikuwa wakizifundisha kisha maisha yakaendelea. Ni msimu wa 2023/24 ambao umekuwa na matukio mengi yanayoendelea hapa tunakuletea baadhi ya makocha ambao walikutana na…
MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wote ni muhimu kuongeza juhudi kwenye mechi ambazo wanacheza ili kupata matokeo. Timu hiyo kwenye msimamo ni namba mbili na funga 2023 ilikuwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma baada ya dakika 90 ubao ulisoma Tabora United 0-1 Yanga na bao likifungwa na Aziz KI. Aziz KI anafikisha…
Azam FC imetangaza mshambuliaji mpya kutoka Colombia, Franklin Navarro (24) ambaye amejiunga na timu yake hiyo mpya akitokea Cortuluá FC ya nchini kwao. Navarro anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Azam FC katika dirisha hili dogo la usajili.
Subiri yavuta heri na hii imetokea leo kwani baada ya Meridianbet kuzunguka sehemu mbalimbali kutoa msaada, Hatimae leo wakazi wa eneo la Mbagala Rangi Tatu wamefikiwa na kupata msaada kutoka kwa wakongwe hao wa michezo ya kubashiri. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefika Mbagala Rangi tatu na kutoa msaada wa kwa wajasiriamali wa eneo…
BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limeweka wazi kuwa palipo na mapungufu watafanyia maboresho kwenye usajili katika dirisha dogo ili kuwa imara zaidi. Desemba 18 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma JKT Tanzania 0-1 Coastal Union walipoyeyusha pointi tatu wakiwa nyumbani. Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Malale Hamsini amesema kuwa ushindani kwenye ligi ni…
INAELEZWA kuwa aliyemleta Maxi Nzengeli ndani ya Yanga anamleta mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ili awe mbadala wa Fiston Mayele ambaye mpaka sasa bado mbadala wake sahihi hajapatikana ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Miguel Gamond.
KUNA wakali ndani ya Bongo ambao mapema walikamilisha mpago kazi wa kutoa zawadi kwa mashabiki wao katika mechi za ushindani ambazo walicheza. Ipo wazi kuwa Azam FC ni namba moja kwenye msimamo huku wakifuatiwa na Yanga na namba tatu ni Simba.