Home Sports AJABU NA KWELI WALITOA ZAWADI MAPEMA BONGO

AJABU NA KWELI WALITOA ZAWADI MAPEMA BONGO

KUNA wakali ndani ya Bongo ambao mapema walikamilisha mpago kazi wa kutoa zawadi kwa mashabiki wao katika mechi za ushindani ambazo walicheza. Ipo wazi kuwa Azam FC ni namba moja kwenye msimamo huku wakifuatiwa na Yanga na namba tatu ni Simba.

Previous articleHAKUNA MBABE, UFUNGUZI WA AMAAN COMPLEX WAFANA
Next articleMSHAMBULIAJI HUYU WA MABAO ANAKUJA YANGA