Home Sports AJABU NA KWELI WALITOA ZAWADI MAPEMA BONGO Sports AJABU NA KWELI WALITOA ZAWADI MAPEMA BONGO December 28, 2023 FacebookTwitterPinterestWhatsApp KUNA wakali ndani ya Bongo ambao mapema walikamilisha mpago kazi wa kutoa zawadi kwa mashabiki wao katika mechi za ushindani ambazo walicheza. Ipo wazi kuwa Azam FC ni namba moja kwenye msimamo huku wakifuatiwa na Yanga na namba tatu ni Simba.