Home Sports AZAM YAMTANGAZA MSHAMBULIAJI MPYA KUTOKA COLOMBIA Sports AZAM YAMTANGAZA MSHAMBULIAJI MPYA KUTOKA COLOMBIA December 29, 2023 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Azam FC imetangaza mshambuliaji mpya kutoka Colombia, Franklin Navarro (24) ambaye amejiunga na timu yake hiyo mpya akitokea Cortuluá FC ya nchini kwao. Navarro anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Azam FC katika dirisha hili dogo la usajili.