Home Sports AZAM YAMTANGAZA MSHAMBULIAJI MPYA KUTOKA COLOMBIA

AZAM YAMTANGAZA MSHAMBULIAJI MPYA KUTOKA COLOMBIA

Azam FC imetangaza mshambuliaji mpya kutoka Colombia, Franklin Navarro (24) ambaye amejiunga na timu yake hiyo mpya akitokea Cortuluá FC ya nchini kwao.

Navarro anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Azam FC katika dirisha hili dogo la usajili.

Previous articleMERIDIANBET YATOA MSAADA MBAGALA RANGI TATU
Next articleGAMONDI AWAPA MALEKEZO MAPYA NYOTA WAKE