AZAM FC WABANWA MBAVU AZAM COMPLEX

WAUAJI wa Kusini, Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika kuvuja jasho dakika 90. Bao la mapema kwa Namungo lilifungwa na Hamis Halifa dakika ya 12 akiwa nje ya 18 akitumia pasi kutoka kwe Legend,…

Read More

YANGA WANAKIMBIZA KILA KONA BONGO

YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza kikosi cha kwanza ama wameanzia benchi. Mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Februari 23 2025 baada ya dakika 90 ubao ukasoma Mashujaa…

Read More

HUYU HAPA ALIHUSIKA KUWANYIMA USHINDI SIMBA MZIZIMA

PASCAL Msindo kwa asilimia 80 aliwanyima ushindi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara Februari 24 2025 kwenye Mzizima Dabi kutokana na kutimiza majukumu yake kwa umakini asilimia 100. Utulivu kwenye miguu yake ulikuwa ukiwavuruga mabeki wote wa Simba ambao ni watengeneza mipango namba moja kwa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Alikuwa…

Read More

EARLY PAYOUT KUMWAGA MIHELA LEO

Early payout kwasasa ndio mchongo mpya ambao Meridianbet wamekuja nao ambapo kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa usiku wa leo itakuwezesha kushinda mamilioni leo. Mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wamekujia na chaguo linaloitwa Early payout ambapo unaweza kushinda mkeka pale tu timu zoako ulizochagua zitaongoza kwa tofauti ya magoli mawili, Mfano leo Bayern Munich…

Read More

MERIDIANBET YAPANDA MITI MBEZI JUU

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa mazingira yanazidi kuwa bora zaidi, Meridianbet iliamua kurejesha kwa namna ya pekee ambapo safari hii wameamua kupanda miti Mbezi Juu. Meridianbet, kampuni inayoongoza katika sekta ya kubashiri na michezo, imeendelea kuonyesha uwajibikaji wake kwa jamii kwa kuanzisha na kuongoza zoezi la upandaji miti katika Kata ya Mbezi Juu, Dar es Salaam….

Read More

SHINDA MKWANJA KUPITIA LIGI MBALIMBALI LEO

Kupitia ligi mbalimbali ambazo zitakua zinachezwa leo zikiongozwa na ile ligi pendwa duniani pale nchini Uingereza kutakua na michezo ya kutosha ambayo itatoa fursa kubwa ya kupiga mkwanja kupitia Meridianbet leo. Licha ya kuweza kubashiri na kupiga mkwanja lakini pia Meridianbet wanakupa fursa ya mkeka wako mapema kupitia chaguo la Early payout, Bashiri michezo mbalimbali…

Read More

PACOME ATEMBEZA MKWARA HUKO

KIUNGO wa Yanga, Pacome amesema kuwa hesabu kubwa ni kupata pointi kwenye mechi ambazo wanacheza uwanjani wakiwa hawana muda wakupoteza kwa sasa. Katika mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-5 Yanga huku Pacome akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo na alitoa…

Read More

BEKI HUYU ATAJWA KUWA KWENYE RADA ZA YANGA

BEKI wa kazi  Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wote wakiwa katika hesabu za kuinasa saini yake. Ipo wazi kuwa katika eneo ambalo JKT Tanzania haijawa imara sana ni eneo…

Read More

WATU WANAJIPIGIA MKWANJA TU AVIATOR

Mchezo pendwa wa kasino wa Aviator unaendelea kuhakikisha wadau na wapenzi wa michezo ya wanapiga mamilioni ya kutosha, Kwani hivi karibuni imefanikiwa kutoa mshindi mpya ambaye amejishindia kiasi cha milioni 44. Mteja huyo anayefahamika kwa utambulisho wa HN amefanikiwa kushinda kiasi hicho cha pesa kwa kutumia dau dogo tu, Kwani bwana HN aliweka kiasi cha…

Read More