MNYAMA KWENYE MZIZIMA DABI TAMBO ZATAWALA

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa lipo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC ambao ni Mzizima Dabi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Februari 24 2025. Simba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-0 ubao ukifunguliwa na Leonel Ateba ambaye alifunga bao lake la kwanza…

Read More

YANGA WAZIDI KUIKIMBIZA SIMBA

VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, kasi yao imezidi kuwa kwenye kwenye eneo la ushambuliaji huku wakivuna pointi tatu nje ndani mbele ya Mashujaa na ndani ya dakika 180 wamevuna pointi sita msimu wa 2024/25. Kwenye idadi ya mabao ya kufunga Yanga imezidi kuongeza hazina yake ikiwapoteza Simba kwenye…

Read More

Meridianbet Kukupa Mkwanja Wa Kutosha Leo

Jumapili ya leo inaweza kua ya shangwe kwako kwani itakwenda kupigwa michezo ya kutosha ambapo unaweza kushinda mkwanja mzito wa mpaka milioni 300 kwa tiketi moja tu kupitia (Maximum payout) ya Meridianbet. Leo Max payout inaweza kukunufaisha kwani kutakua na michezo mikali katika ligi mbalimbali barani ulaya kuanzia pale ligi pendwa nchini Uingereza, Italia, Hispania,…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO, MBUZI TAMBO TUPU

LIGI namba nne kwa ubora inaendelea kuchanja mbunga ambapo l Februari 22 kunatarajiwa kuchezwa mechi mbili kali za kukata na shoka kwa wababe kuwa ndani ya uwanja. Issa Liponda maarufu kama Mbuzi ambaye ni Ofisa Habari wa Fountain Gate ameweka wazi kuwa wapo tayari kusepa na pointi tatu muhimu ugenini kutokana na maandalizi ambayo wamefanya….

Read More

MKALI WA MABAO YA MBALI KUWAVAA SIMBA

KUELEKEA Mzizima Dabi mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili kuna mkali wa mabao ya mbali yupo ndani ya kikosi cha Azam FC huenda akawapa tabu wapinzani wao wakikutana ndani ya dakika 90 za kuvuja jasho. Ni Yoro Diaby nyota wa Azam FC anashikilia rekodi yakuwa nyota aliyefunga bao kwa umbali mrefu…

Read More

YANGA IMEMPOTEZA MNYAMA NAMNA HII

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani msimu wa 2024/25. Baada ya kucheza jumla ya mechi 20 ambazo ni dakika 1,800 safu ya ushambuliaji ya Yanga imetupia mabao 50 ikiwa…

Read More

MAXIMUM PAYOUT NDANI YA MERIDIANBET MAMBO NI MOTO

Meridianbet wanaendelea kuhakikisha mteja wao anafurahia huduma zao kwani kwasasa wamekujia na kitu kinaitwa Maximum payout, Ambapo wamepandisha kiwango cha kulipia tiketi moja na kufikia mpaka kiasi cha shilingi milioni 300. Kwa mfano leo kuna michezo tofauti tofauti itakayopigwa kwenye ligi kama Uingereza, Hispania, Italia, pamoja na ligi kuu ya Ufaransa ambapo unaweza kutumia huduma…

Read More

UEFA EUROPA LEAGUE NI MWENDO WA MAOKOTO TU

Kupitia michezo ya Uefa Europa league ni fursa kwako ya kujishindia maokoto ya kutosha, Kwani leo inakwenda kupigwa michezo mikali yenye hadhi ya kukupa mkwanja ni wewe tu kuweka jamvi lako mapema. Michuano ya Europa League imekua ikitoa mkwanja wa kutosha kila mara na leo ndio ile siku yenyewe ya kuhakikisha unajipigia maokoto ya kutosha,…

Read More

YANGA AKILI ZAO ZIMEHAMIA HUKU SASA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga akili zao kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 52 baada ya kucheza mechi 20 ambazo ni dakika 1,800 kinara wa utupiaji mabao ni Clement Mzize mwenye…

Read More

KADI NYEKUNDU YAWAVURUGA NAMUNGO

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa kilichowavuruga kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Februari 19 2025. Ni Derric Mukombozi nyota wa Namungo alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 32 hali iliyopelekea wacheze dakika 58 wakiwa pungufu mbele ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,…

Read More

MSHAMBULIAJI HUYU YANGA KWENYE ANGA ZA WAARABU

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora, Clement Mzize anatajwa kuwa kwenye rada za Waarabu wa Moroco ambao wanahitaji saini yake. Ni Wydad Casablanca matajiri hawa wanatajwa kufika kwa mabosi wa Yanga na kuweka ofa yao mezani kwa ajili ya kupata saini ya kijana…

Read More