
HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA MEI 2025
LIGI Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora inaendelea ambapo kuna vigogo vinatarajiwa kupigwa uwanjani ndani ya Mei kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Simba SC itakuwa uwanjani Mei 8 2025 kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji mchezo unoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. KMC vs Simba SC, Mei 11…