MCHEZO WA MNYAMA DHIDI YA DODOMA JIJI KUPANGIWA TAREHE

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Dodoma Jiji uliotarajiwa kufanyika Uwanja wa KMC Complex Februari 15 2025 umeahirishwa hivyo utapangiwa taraehe nyingine. Dodoma Jiji ilitoka kucheza mchezo wake wa ligi dhidi ya Namungo ugenini kwenye msako wa pointi tatu ambapo walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2 wakigawana pointi mojamoja. Februari 10 2025…

Read More

SIMBA YAISHUSHA YANGA NAMBA MOJA

IKIWA Uwanja wa KMC Complex Simba imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mzunguko wa pili. Ukurasa wa mabao kwa Simba ulifunguliwa na Jean Ahoua dakika ya 29 anafikisha mabao 8 ndani ya ligi na bao la pili lilifungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 44 likiwa…

Read More

BUNGE LATAKA UKARABATI WA UWANJA WA MKAPA UKAMILIKE APRILI 2025

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeazimia mambo manne kuhusu Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwamo kuhakikisha ukarabati wake unakamilika ifikapo Aprili, 2025. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Husna Sekiboko ameyasema hayo leo bungeni alipokuwa akiwasilisha taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya kamati hiyo. Sekiboko amesema serikali iandae mkakati wa kuanzisha chombo maalum cha…

Read More

BENCHIKA KUTIMKIA MODERN FUTURE YA MISRI

Baada ya kuondoka JS Kabylie Januari iliyopita, kocha wa Algeria Abdelhak Benchikha yuko mbioni kutia saini ya kuifundisha klabu ya Modern Future ya Misri inayoshiriki ligi kuu nchini humo. Benchikha, ambaye tayari amekuwa na uzoefu kadhaa nje ya nchi, hasa Tanzania,Morocco na Qatar, anaweza kujikuta akiwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Modern Future FC ni…

Read More

ALIYEWASUMBUA YANGA NA KUSEPA NA TUZO AFUNGUKA

MCHEZAJI bora wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Isahmuyo, Wilson Nangu amesema kuwa amefurahi kupata tuzo hiyo akiwashukuru mashabiki pamoja na wachezaji kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga hivyo wababe hao waligawana pointi mojamoja ndani ya dakika 90, kipindi cha…

Read More

PLAYSON SHORT RACES KUPITIA MERIDIANBET WAJA NA PROMOSHENI YA KIBABE

Hii haijawahi kutokea kupitia Playson Short races ambao wanashirikiana na mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wamekujia na promosheni ya kibabe kabisa, Kwani Shilingi Biliani tatu kushindaniwa kila siku. Playson Short races kama wasambazaji wa michezo mbalimbali kupitia michezo yao ndio unaweza kua sehemu ya washindi watakaoshindania kiasi cha  3,000,000,000 kila siku, Hivo wachezaji wa…

Read More

BAYERN YATUMA WAFANYIKAZI WAWILI NCHINI RWANDA

Mkurugenzi Mtendaji wa Bayern Munich Jan-Christian Dreesen alithibitisha kwa kwamba klabu hiyo inafuatilia hali jinsi ilivyo nchini DR Congo. Bayern imetuma wafanyikazi wawili nchini Rwanda baada ya kupokea ukosoaji kwa udhamini wao wa Visit Rwanda. Tangu Agosti 2023, Bayern Munich imekuwa na Visit Rwanda kama mfadhili, mpango wa ofisi ya utalii ya Rwanda. Mwishoni mwa…

Read More

PAMBA JIJI KUMBE SIO WEPESI HUKO

WAKULIMA wa Pamba kutoka Jiji lenye madini ya mawe, Mwanza, Pamba Jiji wamedhihirisha kuwa sio wepesi kama ilivyo Pamba kutokana na kupata matokeo mbele ya matajiri wa Dar kwenye mchezo wa ligi inayodhaminiwa na NBC. Ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora ushindani wake umezidi kuwa mkubwa hasa mzunguko wa pili ambapo vigogo wamekuwa wakiangusha…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuuu Bara ambayo inadhaminiwa na NBC ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora Afrika bado inazidi kupasua anga taratibu ukiwa ni mzunguko wa pili. Februari 10 2025 kuna mechi ambazo zitachezwa katika viwanja tofauti kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ngoma inatarajiwa kuwa namna hii leo:- KenGold v Fountain Gate, Uwanja…

Read More

KIKOSI CHA DODOMA JIJI CHAPATA AJALI

KIKOSI cha Dodoma Jiji kimepata ajali ya basi wakati wakirejea Dar kutoka Ruangwa walipomaliza mchezo wa ligi dhidi ya Namungo FC waliotoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Kwenye mchezo huo Dodoma Jiji waligawana pointi mojamoja ugenini katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa huku mlinda mlango Ngelekea Katembua akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Taarifa zimeeleza…

Read More

SUKA JAMVI NA BET BUILDER NDANI YA MERIDIANBET

Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet imekuletea chaguo linaloitwa BET BUILDER ambapo hapa unaweza kuchagua machaguo mengi kwenye timu moja mfano. JKT vs Yanga unaweza ukampa Yanga ashinde, mechi itoe magoli 3, mgeni ashinde vipindi vyote nakadhalika. Maana ya  BET BUILDER ni, BET BUILDER ni huduma inayotolewa na Meridianbet kwenye kubashiri ambayo hii inakupa nafasi ya…

Read More