
MCHEZO WA MNYAMA DHIDI YA DODOMA JIJI KUPANGIWA TAREHE
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Dodoma Jiji uliotarajiwa kufanyika Uwanja wa KMC Complex Februari 15 2025 umeahirishwa hivyo utapangiwa taraehe nyingine. Dodoma Jiji ilitoka kucheza mchezo wake wa ligi dhidi ya Namungo ugenini kwenye msako wa pointi tatu ambapo walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2 wakigawana pointi mojamoja. Februari 10 2025…