Early Payout Inaendelea Kumwaga Mpunga

Wikiendi ndio hii wale wanaobashiri kupitia mpira wa miguu wana fursa ya kutamba na kujipigia mkwanja kirahisi, Kwani chaguo linalotamba kwasasa la Early payout litakua kwenye michezo mingi itakayopigwa chaguo chaguo hili upige mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet. Meridianbet wamekuja na kitu kinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo…

Read More

MECHI KALI LEO ZIPO HAPA, WIKENDI YA USHINDI

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukurahisishia kazi kwa kukupatia kile ambacho unakipenda. Bashiri sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A leo kitawaka sana ambapo Atalanta atasafiri kumenyana dhidi ya Hellas Verona ambao wapo nafasi ya 13 wakiwa na pointi zao 23 pekee….

Read More

HAPA NDIPO PATAKAPOWAANGUSHA SIMBA

ENEO la ushambuliaji litawaangusha Simba kwenye mbio za kuwania ubingwa ikiwa wachezaji watashindwa kuwa makini hasa katika umaliziaji wa nafasi na kutengeneza nafasi. Katika michezo ambayo ameanza Mpanzu ameonekana kuwa na shauku kubwa yakutaka kufunga zaidi ya kutengeneza nafasi za mabao jambo linalowapa ugumu Simba kufunga ndani ya uwanja. Nafasi ambazo wanazipata ndani ya 18…

Read More

FIFA YAIFUNGIA CONGO BRAZZAVILLE KUSHIRIKI SHUGHULI ZOTE ZA KISOKA

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki katika mashindano ya Kimataifa. FIFA ilifafanua kuwa imeamua kusitisha uanachama wa shirikisho la soka la Congo Brazzaville hadi itakapotangazwa tena, kutokana na kuingilia kati kwa Waziri wa michezo wa Congo,…

Read More

KAMATA RATIBA YA LIGI NAMBA NNE KWA UBORA AFRIKA

BAADA ya ubao wa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa kusoma Fountain Gate 1-1 Simba ngoma bado inaendelea kwenye Ligi namba nne kwa ubora Afrika ambapo kuna mechi zinachezwa leo msako wa pointi tatu muhimu. HII HAPA RATIBA YA FEBRUARI 7 Coastal Union v JKT Tanzania, saa 10:00 jioni Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar, saa…

Read More

AZAM FC YAMALIZANA NA KMC KISHUJAA ZAIDI

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamemalizana na KMC ndani ya msimu wa 2024/25 kwa kukomba pointi zote sita mazima. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Azam FC walipata ushindi wa mabao 4-0 Uwanja wa KMC Complex na bao la kwanza ndani ya Azam FC kwenye ligi likifungwa na Idd Nado akitumia pasi ya Fei Toto….

Read More

JISHINDIE MIHELA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…

Read More

SUPER HELI INAMWAGA MVUA YA KIFALME MWEZI HUU

Kupitia mchezo matata wa kasini wa Super Heli wateja wa Meridianbet wanaweza kuokota vya kutosha kutokana na promosheni ya mchezo huo inayoendelea inayofahamika kama Mvua ya kifalme (Royalty Showers). Wakati huu ambao mchezo wa Kasino wa Super Heli umekua kivutio kikubwa kwa wadau wa michezo ya kasino na ndio wakati Meridianbet nao wamekuletea promosheni yao…

Read More