YANGA WAIACHA MBALI SIMBA KWENYE MABAO NA POINTI

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic wamewaacha mbali watani zao wa jadi kwenye tofauti ya pointi na idadi ya mabao ya kufunga. Baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex Februari Mosi 2o25 Yanga imefikisha pointi 42 ikiishusha Simba nafasi…

Read More

YANGA YAISHUSHA KILELENI SIMBA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na beki ya NBC Yanga wamekomba pointi tatu muhimu na kuishusha Simba nafasi ya kwanza baada ya kufikisha jumla ya pointi 24 huku Simba wakiwa na pointi 40 nafasi ya pili kwenye msimamo. Yanga imecheza mechi 16 na Simba imecheza mechi 15 mchezo wake wa 16 unatarajiwa…

Read More

FADLU ATUMA UJUMBE KWA TABORA UNITED

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Tabora United utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kwa ajili ya kupata pointi tatu muhimu. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 Tabora United huu ni mchezo wa mzunguko wa…

Read More

MWENDA AMEANZA MCHEZO WA KWANZA YANGA

BEKI Israel Mwenda wa Yanga ameanza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Yanga baada ya kuibuka hali akitokea Singida Black Stars. Djigui Diarra, Kibwana Shomari, Boka, Dickson Job ni nahodha wa kikosi cha kwanza akiwa ni beki kiongozi. Bacca, Khalid Aucho, Israel Mwenda, Mudathir…

Read More

HIVI NDIVYO SIMBA WATAIKABILI TABORA UNITED

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids wamebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Tabora United hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuwakabili kwa  mbinu uwanjani kwa kujituma mwanzo mwisho ndani ya uwanja. Simba ni namba moja kwenye msimamo wa ligi namba nne kwa ubora ni pointi 40 zipo kibindoni baada ya…

Read More

YANGA TAYARI KUMALIZANA NA KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

MUHIMBILI YANEEMEKA NA UJIO WA MERIDIANBET

Ukipata kidogo basi gawana na wengine ndivyo ambavyo hufanya Meridianbet kampuni ya ubashiri Tanzania, ambapo leo hii walikuwa na zoezi la kugawa aprons wa mama ntilie wa Muhimbili. Aprons hizo zilitolewa na mama ntilie wanaofanya kazi katika maeneo ya karibu na Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam. Msaada huu unalenga kuboresha usalama na hali ya…

Read More

ATEBA NA KAPOMBE WANA JAMBO LAO

LEONEL Ateba mshambuliaji wa Simba amejenga ushikaji mkubwa na mwamba Shomari Kapombe kwenye anga la kimataifa kutokana na kutumia kwa umakini pasi ambazo zinatoka kwenye miguu ya mwamba huyo. Ipo wazi kwamba Simba katika anga la kimataifa baada ya kucheza mechi sita kwenye hatua ya makundi ni mabao 8 safu ya ushambuliaji imefunga kinara wa…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

SIMBA YAIPIGIA HESABU HIZI TABORA UNITED

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Tabora United utakuwa na ushindani mkubwa lakini watacheza kama fainali kupata ushindi. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids baada ya kucheza mechi 15 za ligi ni pointi 40 kimekusanya kibindoni huku kikipoteza mchezo mmoja ilikuwa dhidi ya Yanga uliochezwa…

Read More

MSAADA WA MASHUKA WATOLEWA ZAHANATI YA ALIMAUA

Kampuni ya Meridianbet, kwa mara nyingine tena, imeonyesha dhamira yake ya kusaidia jamii kupitia mchango mkubwa kwa Zahanati ya Alimaua ambapo safari hii  kampuni hiyo ilikabidhi msaada wa mashuka kwa zahanati hiyo, kama sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya na mazingira ya kutolea huduma kwa wananchi wa eneo la Alimaua. Akizungumza wakati wa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO HII HAPA

BURUDANI ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na NBC inarejea kwa mara nyingine tena baada ya muda kidogo kusimama kutokana na ratiba ya Mapinduzi Cup na Fainali za Mataifa ya Afrika, kwa wachezaji wa Ndani, (CHAN) ambapo Tanzania ni wenyeji. Hapo awali ilitarajiwa kuwa ingerejea Machi Mosi na mechi za mwisho ilikuwa ni Desemba…

Read More

AZIZ KI KWENYE HESABU ZA WYDAD

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki anatajwa kuwa kwenye rada ya Klabu ya Wydad Casablanca ambayo inahitaji saini yake.   Ki msimu wa 2023/24 mezani alikuwa na ofa zaidi ya mbili kutokana na kiwango ambacho alionyesha akiwa Yanga na mwisho alisaini dili jipya kuendelea kuwa ndani ya Yanga.   Ikiwa Wydad Casablanca watakakuwa wanahitaji saini…

Read More