
NI SIKU YA CHAMPIONS LEAGUE YA MOTO MOTO LEO!
Ikiwa leo ni siku nzuri kabisa ya Jumanne, Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea huku wewe ukiwa na nafasi ya kuchukua mpunga wa maana mbele ya Mabingwa wa odds kubwa Tanzania Meridianbet. Tandika jamvi na ushinde hapa. Pale Allianz Arena kati ya Bayern Munich vs Inter Milan huku timu hizi zote zikiwa ndiyo vinara kwenye…