
KITITA KIPO KWENYE CHAMPIONS LEAGUE JUMATANO HII
Sehemu ni moja tu leo ambayo inaweza kukuhakikishia unachukua kibunda chako cha kutosha na sio sehemu nyingine bali ni pale Meridianbet kupitia michuano ya ligi ya mabingwa ulaya ambapo itachezwa michezo kadhaa yenye Odds kubwa kabisa. Klabu ya PSG leo itashuka dimbani kumenyana na vijana wa Pep Guardiola Manchester City ambao hawapo kwenye ubora mkubwa…