MERIDIANBET YATOA MSAADA KWA WAKAZI WA KIBAHA

Kwa mara nyingine Meridianbet wamefanikiwa kufika wilaya ya Kibaha na kutoa msaada katika eneo hilo katika makundi mbalimbali ya kijamii. Wababe hao wa michezo ya kubashiri wameendelea kuhakikisha wanarudisha kwa jamii yao inayowazunguka, Ambapo wamefanikiwa kuwagusa makundi mawili ya kijamii ambapo wametoa msaada familia duni pamoja watu wenye ulemavu wa ngozi (Ualbino) Mabingwa hao wa…

Read More

SIMBA YAPITA NA MABAO 13 SHWAA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wamepita shwaa na mabao 13 mazima kwa msimu wa 2023/24 baada ya kuwapa mkono wa Thank You. Timu hiyo imegotea nafasi ya tatu inaungana na Coastal Union ya Tanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika huku Yanga na Azam FC hizi zikiwa na…

Read More

BILIONEA AMUITA CHAMA DAR FASTA

RAIS wa Heshima ambaye pia Mwekezaji wa Simba, Bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ amebadili maamuzi na haraka amemuita kiungo wao mshambuliaji, Mzambia Clatous Chama Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuongeza mkataba mpya kuendelea kubakia hapo. Awali ilielezwa kuwa Mo aliwagomea baadhi ya Viongozi wa Bodi ya Klabu hiyo kumuongezea mkataba kiungo huyo kutokana…

Read More

AZIZ KI NA FEI WANA REKODI ZAO BONGO

KIUNGO mshambuliaji ndani ya Azam FC, Feisal Salum, maarufu kama Fei Toto anaingia kwenye orodha ya nyota waliofunga hat trick mapema ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Huku mwamba Aziz Ki wa Yanga akiingia kwenye rekodi ya nyota aliyefunga hat trick nyingi ambazo ni mbili. Mbali na Fei  kuwa mfungaji wa hat trick…

Read More

USAJILI WA YANGA BALAA ZITO LINAKUJA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa utafanya usajili wa kishindo katika dirisha kubwa la usajili ambalo limefunguliwa Juni 15 2024.  Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi ina mpago wa kuongeza washambuliaji pamoja na mabeki katika kikosi kwa msimu ujao. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 wataipeperusha…

Read More

ULIMWENGU WA KASINO NA MAGIC POKER

Shinda mpaka mara 800 kwa dau lako unapocheza kasino, mchezo wa KARATA maarufu duniani, unaitwa Magic Poker unapatikana Meridianbet kasino ya Mtandaoni. Jisajili ushinde. Magic Poker ni mchezo mpya wa poker kutoka kasino ya mtandaoni ya meridianbet, uliotengenezwa na kampuni ya Wazdan Casino. Odds kubwa zitokanazo na kupata mikono mizuri ya poker na bonasi maalum…

Read More

MKALI ALIYEWATESA WAARABU IMEISHA UNYAMANI

KONDE Boy ambaye alirejea kwa mara nyingine ndani ya Simba ni rasmi hatakuwa ndani ya kikosi hico akiungana na nyota wengine walioanza kukutana na Thank You. Ni Luis Miquissone raia wa Msumbiji ambaye hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza ndani ya Simba kitaifa na kimataifa Juni 19 2024 rasmi uongozi wa Simba ulibainisha kwamba hataongezewa…

Read More

KIUNGO WA KAZI YAMEMKUTA YANGA

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo katika hatua za mwisho na kiungo wake mshambuliaji, Mghana Augustine Okrah ya kusitisha kusitisha mkataba au kumtoa kwa mkopo ndani au nje ya nchi mwishoni mwa msimu huu. Kiungo huyo alikuwepo katika kikosi cha Simba, katika msimu uliopita kabla ya kuomba mkataba wake uvunjwe ili aende akatafute changamoto nyingine mpya nyumbani…

Read More

VUNA BONASI YA KASINO HADI TSH 2,500,000/= MERIDIANBET

Promosheni ya Shindano la Expanse kupitia Kasino ya Mtandaoni Meridianbet, bado inaendelea na una weza kushinda mgao wako wa Tsh Milioni 2,500,000/=, sharti ni moja tu kuchezo mmchezo wowote wa Expanse iliyopo Meridianebet Kasino. Jisajili Meridianbet kuwa sehemu ya washindi. Michezo ya Kasino inaweza kukufanya uwe tajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi…

Read More