
YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA WAARABU KIMATAIFA
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi wanahitaji kupata pointi tatu za Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad licha ya kuwa ugenini. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi leo Novemba 24 kisha. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 2 usiku kwa saa za Algeria huku kwa Bongo ikiwa ni…