YANGA NDANI YA LINDI,KUIKABILI NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Ruagwa, Lindi kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Desemba 5,2022 kikosi kilisepa Dar na kuibukia Mtwara kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo huo. Yanga inatarajiwa kumenyana na Namungo ukiwa ni mchezo wa kufungia mzunguko wa kwanza 2022/23 mpaka sasa…

Read More

MWAMBA ONANA KWENYE MTEGO NDANI YA SIMBA

WILLY Onana nyota wa Simba yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kwa kutakuwa kutumia nafasi zinazopatikana kwenye mchezo. Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa African Football League leo Ijumaa dhidi ya Al Ahly, Uwanja wa Mkapa huku Onana akiwa ni miongoni mwa nyota waliopo kwenye mpango kazi wa kocha…

Read More

JKT TANZANIA V YANGA KUPANGIWA TAREHE

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao ulitarajiwa kuchezwa kwa dakika 90 kusaka mshindi ambaye angekomba pointi tatu. Timu zote mbili zilikuwa zimewasili uwanjani kwa ajili ya mchezo huo wa ligi uliokuwa…

Read More

MAPINDUZI CUP FAINALI LEO NI LEO

JANUARI 13 leo ni leo ambapo Michuano ya Mapinduzi Cup inafikia tamati kwa mechi ya fainali kupigwa Mabingwa watetezi ambao ni Mlandege kucheza na Simba SC ambao wametinga hatua ya fainali 2024. Ni bao la Fabrince Ngoma lilileta nongwa dakika za lala salama na kupelekea mikwaju ya penalti. Singida Fountain Gate 2-3 Simba kwenye penalti…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa nne. Mbeya City wataikaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam FC imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Yanga inakaribishwa na Mbeya City ambayo imecheza mechi tatu. Mchezo wake wa mwisho…

Read More

MABINGWA WATETEZI WABANWA MBAVU KWA MKAPA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Oktoba 31 wamebwana mbavu mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara baada ya kugawana pointi mojamoja. Katika mchezo wa leo ambao ulikuwa ni wa nguvu nyingi imeshuhudiwa ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0-0 Coastal Union ya kule Tanga. Kadi mbili nyekundu…

Read More

SIMBA WAAMUA KUKODI ULINZI AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba umeamua kufanya jambo la kitofauti kwa kukodi gari la ulinzi kwenye misafara yao wanapokuwa nchini Afrika Kusini baada ya wageni wao Orlando Pirates kugoma kuwapa huduma hiyo. Jana Aprili 22, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba waliweza kuwasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi…

Read More

MASTAA SITA WA SIMBA KUIKOSA RUVU SHOOTING

MASTAA sita wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute, Pape Sakho leo Februari 16 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 16 bora Uwanja wa Mkapa. Kanoute na Sakho waliumia kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas ambao ulikuwa ni wa Kombe la Shirikisho na Simba iliibuka…

Read More

BILIONI 2.8 ZAMPELEKA MAYELE UARABUNI

MABINGWA mara mbili mfululizo wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, wanaweza kupata wakati mgumu kukataa ofa ya Rand milioni 22 (Sawa na Sh 2,806,936,000) kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wao, Mkongomani, Fiston Mayele kujiunga na Sepahan SC ya nchini Iran. Mayele amekuwa katika kiwango bora kwa misimu miwili aliyoitumikia Yanga ambapo msimu wa 2022/23, ametangazwa…

Read More

ARSENAL YAMSAKA WINGA KWA PAUNDI 40

 KLABU ya Arsenal imetuma ofa ya Paundi milioni 40 kwa Villarreal ya nchini Hispania kwa ajili ya kuinasa saini ya winga wa klabu hiyo Yeremy Pino. Mchezaji huyo ambaye pesa yake ya kuvunja mkataba ni paundi milioni 80, pia ameripotiwa kuwa kwenye rada za Liverpool ambao nao wanatarajiwa kutuma ofa ya kumnasa winga huyo. Arsenal…

Read More

MBEYA CITY 0-1 SIMBA

KITASA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba , Mzamiru Yassin amepachika bao la kuongoza ugenini. Dakika ya 14 usomaji wa ubao wa Uwanja wa Sokoine ulibadilika na kusoma Mbeya City 0-1 Simba. Bao la Mzamiru limepachikwa dakika ya 14 kwa pasi ya mshambuliaji John Bocco. Dakika 45 zimekuwa na ushindani mkubwa kwa kila…

Read More

MTIBWA SUGAR KUCHEZA KAMA FAINALI LEO

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kwamba utapambana kwenye mchezo wa leo dhidi ya Yanga kama fainali ili kuweza kupata ushindi. Mtibwa Sugar ikiwa itapoteza mchezo wa leo inajiweka kwenye nafasi ya kushuka daraja jumlajumla jambo ambalo Mtibwa Sugar hawahalipendi. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 na ina pointi 31 huku Yanga ikiwa nafasi ya…

Read More

YANGA WAPIGA HESABU ZA USHINDI MBELE YA MBAO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unawaheshimu wapinzani wao Mbao ambao watacheza nao leo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora lakini watawafunga.  Mkurugenzi wa Mashindano ndani ya Yanga, Thabit Kandoro amesema kuwa wanatambua kwamba wana mchezo mgumu ila wanahitaji ushindi. “Baada ya droo kuchezwa tulijua kwamba tuna kazi ya kufanya mbele…

Read More

KIDUNDA AFUNGUKIA KUHUSU UCHAWI KWENYE NGUMI

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’, Sajenti Seleman Kidunda amefichua kuwa kama kuna bondia anaamini uchawi unasaidia kwenye kupigana basi atamruhusu aende akaloge halafu akakutane na mziki wake. Kidunda hivi karibuni amepandishwa cheo kutoka Koplo hadi Sajenti kwa sasa anajiandaa na pambano lake la ubingwa wa dunia ‘WBF’ dhidi ya Tshimanga Katompa kutoka DR Congo katika Pambano la Usiku wa Mabingwa litakalopigwa Desemba…

Read More