MSHINDI WA MILIONI MOJA KUTOKA VIBUNDA SPESHO PARIMATCH NA TIGO PESA LEO
KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya Parimatch kwa kushirikiana na Mtandao wa Tigo Pesa yawasisitizia wateja wake kuendelea kushiriki katika kampeni yao ya ‘Vibunda Spesho’ ambayo imesalia masaa machache kuchezeshwa kwa droo ya kumpata mshindi wa milioni moja siku ya leo Ijumaa. Hayo yamewekwa wazi na Ofisa Habari na Mawasiliano kwa Umma wa Parimatch Tanzania…