KISA INONGA, BENCHIKHA AWACHENJIA MABOSI SIMBA

BENCHI la Ufundi la Simba, ambalo lipo chini ya Kocha Mkuu Mualgeria, Abdelhak Benchikha limezuia mauzo ya beki wao kati Mkongomani, Hennock Inonga. Mkongomani huyo ni kati ya wachezaji wanaounda kikosi cha DR Congo, ambacho kimefuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) huko nchini Ivory Coast baada ya kuwaondoa Misri katika…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA ATAJWA KUMALIZANA NA YANGA

 BEKI wa kazi ndani ya FC Lupopo Chadrack Boka anatajwa kumalizana na mabosi wa Yanga kwa ajili ya kuwa ndani ya timu hiyo msimu wa 2024/25. Beki huyo mwenye miaka 24 raia wa DR Congo Yanga wanatajwa kumalizana naye mapema kwa ajili ya kuimarisha kikosi hicho kinachonolewana Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ipo wazi kwamba Yanga…

Read More

JEMBE AMPA UJUMBE HUU FEI KUHUSU CHAMA

WASEMA kweli nchi hii hawapendwi, ukweli mara nyingi unaumiza lakini ukiukubali ni dawa. Mjadala wa ubora, nani zaidi kati ya Chama na wewe unazidi kukua lakini kwangu naona umejawa ushabiki zaidi ya uhalisia. Watu wanakwita Zanzibar Finest lakini kama ni kiungo mchezeshaji wewe ni Tanzania Bara na Visiwani Finest…lakini tumtoe Chama. Mashabiki wake wanamuita Mwamba…

Read More

KOCHA WA SIMBA KUIBUKIA KWA MKAPA

PABLO Franco, raia wa Hispania leo Novemba 11,2021 anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaoshuhudia mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya DR Congo.   Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jiono huku timu zote mbili hesabu kubwa ikiwa ni katika kupata ushindi ili kuweza…

Read More

BIASHARA YAPUNGUZIWA KASI,MPOLE ATAKATA

WAKATI kasi ya Biashara United ikizidi kupunguzwa kwenye spidi ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23 mmoja ya watupiaji alikuwa ni George Mpole. Kwenye mchezo uliochezwa jana, Uwanja wa Nyankumbu, ubao ulisoma Geita Gold 2-0 Biashara United ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Mabao ya Geita Gold yalipachikwa na Mpole…

Read More

VIUNGO WA KAZI YANGA WAANDALIWA KUIVAA AL HILAL

VIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ikiwa ni pamoja na Tuisila Kisinda, Bernard Morrison, Jesus Moloko ni miongoni mwa nyota wanaondaliwa kwa ajili ya kuikabili Al Hilal ya Sudan. Mbali na hao pia nyota wa kazi chafu Yannnick Bangala ambaye ni kiraka naye yupo kwenye mpango kazi wa mchezo ujao unaotarajiwa kuchezwa…

Read More

DULLAH MBABE KAPIGWA TENA NA UBABE WAKE

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe ameendelea kuwa mteja wa mpinzani wake Tshimanga Katompa raia wa DR Congo kufuatia kukubali kichapo kwa mara ya pili mfululizo. Katika pambano hilo ambalo limepigwa juzi usiku kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha chini ya promosheni ya Red in Lady Promotion inayoongozwa…

Read More

ALONSO ATAJWA KUMRITHI KLOPP LIVERPOOL

INAELEZWA kuwa, licha ya kuzungumzia mafanikio ya Jurgen Klopp ndani ya Liverpool, lakini mambo yanaweza kubadilika wakati wowote kikosini hapo na nafasi yake ikachukuliwa na kiungo wa zamani wa timu hiyo, Xabi Alonso. Klopp raia wa Ujerumani, ndiye alibadili mambo na kuweka historia klabuni hapo baada ya kutwaa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufuta ukame…

Read More

YANGA SC WANAUTAKA UBINGWA WAO

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga SC wamebainisha kuwa mpango mkubwa ni kutwaa taji hilo kwa mara nyingine kutokana na uimara wa kikosi walichonacho. Yanga SC imeandika rekodi ya kutinga fainali ya CRDB Federation Cup mara tano ikiwa ni timu ambayo imekuwa kwenye mwendelezo mzuri katika kuandika rekodi kali ambazo bado hazijavunjwa. Ipo wazi…

Read More

KAZI INAENDELEA KWA TIMU ZA TAIFA,MUHIMU MIPANGO

WAMEANZA kwa mwendo mzuri wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars kwenye mchezo wao wa kuwania kufuzu AFCON dhidi ya Niger. Sare ya kufungana bao 1-1 ugenini haina ubaya lakini ni muhimu kuweza kuendelea kuongeza juhudi hasa kwa mechi ambazo zinakuja ili kuweza kufuzu Afcon.   Mchezo ujao wachezaji bado wana kazi ya kusaka…

Read More

AZAM FC YAIPIGA BAO YANGA KATIKA HILI

WAKATI Yanga wakiwa katika kampeni ya kukaa katika nafasi ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara, Azam FC wameanza kujibu mapigo kwa kuishusha Simba. Ushindi wa mabao 3-1 waliopata dhidi ya Tanzania Prisons umewaongezea pointi tatu na kuwafanya wafikishe pointi sita kibindoni. Mabao ya Prince Dube dakika ya 11, Idd Nado dakika ya 47 na…

Read More

UWANJA WA MKAPA: SIMBA 1-5 YANGA

Kipindi cha pili Yanga walionyesha wanahitaji ushindi na kufunga mabao kupitia kwa Maxi Nzengeli ambaye alifunga mawili dakika ya 64, 77, Aziz KI dakika ya 73, Pacome bao la tano dakika ya 87 kwa mkwaju wa penalti. Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa upinzani ni mkubwa kwa timu zote mbili kusaka ushindi kwenye mchezo huo. Dakika…

Read More