AZAM FC YAZIDI KUPETA BONGO

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamezidi kupeta kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na kuendeleza kasi ya ushindi kwenye mechi ambazo wanachea. Desemba 21 ikiwa ugenini iliibuka na ushindi dhidi ya wapinzani wao Kagera Sugar. Pointi tatu walizopata Azam FC dhidi ya Kagera Sugar zinawazidi kuwafanya wajikite nafasi ya kwanza katika msimamo wa Ligi…

Read More

AMEACHIWA HUKUMU BOSI HUYU KUHUSU LUIS

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wanafikiria kuachana na kiungo wao Luis ambaye alijiunga na timu hiyo kwa mara nyingine akitokea Al Ahly ya Misri kutokana na kutokuwa chaguo la kwanza ndani ya timu hiyo. Kwa sasa ambacho kinatajwa ni majadiliano na benchi la ufundi pamoja na mchezaji mwenye kama atarejea kwenye ubora

Read More

YANGA KUFANYA KAZI KUBWA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa utafanya kazi kubwa kufanikisha malengo ya kutwaa ubingwa ambao upo mikononi mwao waliotwaa msimu wa 2022/23. Chini ya Miguel Gamondi Yanga ilitoka kupata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kinara wa utupiaji wa mabao ni Aziz KI ndani ya Yanga na ligi…

Read More

SIMBA MATUMAINI KIBAO LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Ndoto ya kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa Afrika ni ndoto ambayo klabu ya Simba wamekua wakiiota kila siku, Lakini ilionekana kuingia wasiwasi kutokana na mwanzo wao katika michuano hiyo msimu huu. Baada ya ushindi wa mabao mawili kwa bila walioupata katika uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumanne umeibua matumaini upya kwa klabu…

Read More

ONANA WA SIMBA ATAJA SIRI YA MAFANIKIO

WILLY Onana kiungo mshambuliaji wa Simba amesema ushirikiano mkubwa kutoka kwa wachezaji wenzake ndani ya kikosi ni sababu iliyowapa nguvu wakashinda. Kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 19 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-0 Wydad Casablanca na mabao yote yalifungwa na Onana. Onana alifunga mabao hayo akitumia…

Read More

NAMUNGO WANA JAMBO LAO HUKO

UONGOZI wa Namungo FC umeeleza ukimya unaoendelea kwao ni mchakato wa kukimbizana na dirisha dogo la usajili ili waweze kufanya jambo litakaloendelea kuwapa mashabiki wao furaha zaidi. Timu hiyo kwa sasa inanolewa na aliyekuwa kocha wa viungo Shadrack Nsajigwa baada ya Denis Kitambi kupewa Thank You anatajwa kuibukia Geita Gold baada ya Hemed Morroco kubwaga…

Read More

ZILIZOPO MKIANI MUHIMU KUONGEZA JUHUDI

KAZI ni kubwa kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na kila timu kuonyesha uwezo wake kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Ipo wazi kuwa mzunguko wa kwanza kila timu inapambania malengo yake huku baadhi ya timu zikiwa kwenye nafasi ya mwisho wengi hupenda kuita nafasi ya mkiani. Kikubwa ambacho kinatakiwa kwa timu…

Read More

YANGA 3-0 MEDEAMA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

BAADA ya dakika 90 kuukamilika, Yanga imeshinda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Medeama wakiwa nyumbani. Ni mabao 3-0 Yanga wameshinda baada ya Pacome kufungua ukurasa wa mabao kipindi cha kwanza na Bakari Mwamnyeto na Mudathir Yahya kufunga kwenye mchezo wa leo kipindi cha pili. Kipindi cha kwanza kwenye mchezo…

Read More

YANGA YAGOMEA JAMBO HILI CAF

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haujakata tamaa kwenye mashindano ya kimataifa malengo yao bado yapo kuona kwamba wanafikia hatua ya robo fainali. Katika mechi tatu ambazo ilicheza, Yanga ilivuna pointi mbili na safu ya ushambuliaji ilitupia mabao mawili huku ile ya ulinzi ikiruhusu mabao matano.  Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa malengo…

Read More

NAMNA SIMBA WALIYVOANZA KUONANA KIMATAIFA/ BADO MMENUNA

KWENYE anga la kimataifa Simba wamepata ushindi wa kwanza msimu wa 2023/24 dhidi ya Wydad Casablanca kwa mabao ya kiungo mshambuliaji Willy Onana ambaye alipachika mabao yote mawili. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Onana alitumia pasi kutoka kwa kiungo mshambuliaji Kibu Dennis. Simba inafikisha pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo ikitoka…

Read More

MAAGIZO HAYA YAMETOLEWA NA MASTA GAMONDI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More